OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Akitoa hotuba ya kambi ya upinzani kuhusu wizara ya Elimu msemaji wa kambi hiyo mheshimiwa Suzan Lyimo amesema Tanzania inapaswa kuingia kwenye world record kwa kuweza kufanikisha wanafunzi wa darasa la saba kupass mitihani yao na kuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza huku wakiwa hawajui kusoma, kuandika wala kuhesabu!!Amedai waziri atoe kauli waliopisha wanafunzi hao wamechukuliwa hatua gani, pia alimwaga takwimu za matokea ya kidato cha nne ambapo zaidi ya 80% ya watahiniwa walipata au division 4 au zero huku serikali ikijigamba imeinua kiwango cha elimu! Watanzania wenzagu kwa trend hii ya kuporomoka kwa elimu CCM inatupeleka wapi?? Tuikatae kabla hatujaanguka kabisa!!