Suti iliyozusha mjadala

JKK.JPG
huyo makamu wa rais kuna siku atafia njiani hali gani iyo aliyonayo looh
 
Kwa kweli kama u-handsome ungekuwa ndio kigezo cha kuipeleka nchi paradiso, tungekuwa na raha sana maana saa hii nji hii ingekuwa inaelea kwenye maraha, afya bora, maisha bora, elimu bora kwa kila m-tz. Lakini imekuwa kinyume! Ee mola tuone watu wako.
U-handsome unatusaidia nini sisi. Wakati mwingine huwa naona kichefuchefu kusoma habari zonazohusu u-handsome wa mkwerre. Watanzania tunaendekeza mambo hata yasiyo na mbele wala nyuma. Kama ni uzuri wa sura inatufaidia nini sisi!! Ptuuuuuu!!!!"
 
Uongozi, kama uongozi wa nchi, unaendana na kuhakikisha unazungukwa na vichwa vinavyoweza kutoa ushauri. Nikiangalia hii picha Kikwete si kiongozi maana anazungukwa na vilaza watupu.
 
aaah wapi suti ipi hapa hakuna suti amevaa koti la wapi sijui
shati sijui wapi tai sijui wapi ah

Unaposema suti iliyozusha mjadala unamaana moja ya zile suti mkweree alizopewa na waarabu? Lakini kama ni hivyo hapa mbona hajavaa suti?
 
Yaani msafara wote huu kuanzia waziri mkuu, mambo yanje, makamu wa raisi, wake zao , RPC Kova nyuma pale anakenua, kaka wa raisi nk. wanamsindikiza raisi??? Kweli serikali yetu imekosa kazi ya kufanya.
 
itifaki imezingatiwa kweli hapo?membe atakuwaje mbele ya pinda?au kashaanza kujiona rais kabla ya 2015?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom