Jamani punguzeni mavazi kina mama. Mnavaa utafikiri mnaenda vitani? Vaeni kama mchumba wangu Cheusimangala.
Si hivyo best wangu. Nawashauri kwa sababu za kiafya. Soma kitabu cha 'Mahali Pasipo na Daktari'. Jiulize ni kwa nini mama wa Kimasai si wengi wanapatwa na kansa ya kizazi.
jamani hili sijui ni tusi au majaribu,yaani kanichagua mie sbb kaniona niko fasta.sawa bwana.
wasipovaa manguo ming ya kujiziba zba neno..wakivaaa vnguo vya leta upepo nalop neno....ahh ja,man...
Jamani kweli hata mimi nimeliona hili mwanamke anaanza kuvua suruali,skintight,chupi kubwa halafu chupi ndogo akimaliza hata hamu imeisha. Kuna dada mmoja niliomba kudance nae club alivaa gauni fupi tu hamna sidiria wala chupi chuchu zinachoma kifuani na mikono inapita kiunoni hadi raha kwenye slowdance.
eeeh mi hata chupi huwa sivai napata full kipupwe so msinihesabie kwenye hiyo post mtakua mnanionea
bora hata umesema dia maana leo nimeona post ya pdidy analalamikia mavazi ya kike eti yanawatega sasa huyu nae anataka tuvae vipunga upepo which is which?
Jamani kweli hata mimi nimeliona hili mwanamke anaanza kuvua suruali,skintight,chupi kubwa halafu chupi ndogo akimaliza hata hamu imeisha. Kuna dada mmoja niliomba kudance nae club alivaa gauni fupi tu hamna sidiria wala chupi chuchu zinachoma kifuani na mikono inapita kiunoni hadi raha kwenye slowdance.
I am a Doctor, who is Pdidy by the way?
heb imagine mdada na kitentemente chake afu ndani chukuchuku inakuwaje????
Yaani wewe dada unafaa sana. Utaishi miaka mingi. Be as natural as you can. Sijui nitakuonaje ili tuanzishe NGO ya kuwahamasisha kina mama wengine? Mie nimeshaongea na NORAD na wamekubali kufadhili mradi huu. Cheusi wangu na Preta lazima tuwe nao, unasemaje?
:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:
Jamani mie siko huko; ninakaribia miaka kumi tangia niache shughuli hizo. Mimi nashauri kama Daktari wa magonjwa ya kike.
wazo zuri naunga mkono hoja coz tulizaliwa utupu ni lazima tuishi hivyo nadhani we anza kutafuta frame kwa ajili ya ofisi mi mtaleta assets
Jamani kweli hata mimi nimeliona hili mwanamke anaanza kuvua suruali,skintight,chupi kubwa halafu chupi ndogo akimaliza hata hamu imeisha. Kuna dada mmoja niliomba kudance nae club alivaa gauni fupi tu hamna sidiria wala chupi chuchu zinachoma kifuani na mikono inapita kiunoni hadi raha kwenye slowdance.