Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Wasiwasi wangu, kwa mfano wakifika katika hiyo Hoteli, mhudumu anamwambia mzee, "Muheshimiwa, tumekuandalia kile kile chumba chako cha kawaida?"mmmh!...........n nzuri lkn mumeo anapenda aina hiyo ya mitoko mfano kama hapendi ishu za kulala hotelini asije akakushangaza maidia.
Naamini suprise ingeishia hapo hapo.
:focus: Kwa mimi ningekushauri utafute Hoteli za ufukweni kwa mfano pale Double Tree by Hilton pangekufaa kwa usiku mmoja pia Coral Beach napo ni pazuri maana pia kuna mandhari nzuri ya kujivinjari.