SURA ZA MAJAMBAZI!

Ujambazi siyo sura... Ujambazi ni roho ya unyanganyi na udhulumati...

Kupigana na roho zilizochafuka ni vita ngumu sana...


Cc: mahondaw
 
Kuna ujambazi wa kutumia:
1: Silaha
2: Ujambazi wa kutumia kalamu

sijui wew utakuwa unazungumzia ujambazi upi...
 
ujambazi upo rohoni wala si mwilini...hivo mpk uwe kiroho ndo waweza kuwatambua lkn kwa muonekano ukionyeshwa ndo huyu utashangaa.unakuta ni wapole..ni handsome au warembo kabisa ...anaweza tokea familia bora kabisa haina dhiki...
 
Najua waliitwa Majambazi kwa tabia zao mbaya za kupora watu kwa kutumia silaha ndio maana jina lao bayaa!!....Hivi MAJAMBAZI WANA SURA GANI? Yaani wanafananaje? Ni mijituu mikubwa mikubwa yaani Minjemba Au ipoje ipoje? Utasikia watu wasio julikana! Hivi hao wasio julikana Wapoje

Msaaba Tafadhari mwenye sura Za Majambazi anisaidie .....nilikuwa nawasikia toka nikiwa mkoani kijijini ...nilitamani siku kuja kuwaona wanavyo onekana lakini nimekuja mjini hadi leo sijawahi kuowaona kwa Macho majambazi hivi hawa watu wapoje wapoje eti?
Hawa hapa!!
aafe530d0e3da49ffe40f5b76c9ed3f3.jpg
 
Back
Top Bottom