MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 884
- 848
Nimefuatilia taarifa za January Makamba, William Ngereja na Nape Nnauye kumuomba msamaha Mheshimiwa Rais wetu. Nimetafakari kwa kina na kuja na tahadhari zifuatazo;
1. Rais asiwaamini haraka kwani inawezekana ni mkakati wa genge kufanya hivyo kufunika kombe na kuhadaa ili wapate nafasi nzuri ya kufanya retaliation bila kuwa na kikwazo.
2. Rais aongeze tahadhari kuliko wakati wowote, hao walioomba msamaha wakubwa wao hawajaomba msamaha hivyo msamaha wao haujapata mshindo thabiti wenye kushawishi udhati wake. Izingatiwe kuwa tunakwenda uchaguzini, yaweza kuwa wanaitaka nitoke vipi.
Ni kazi ya vyombo vyetu makini vya usalama kuidadavua tahadhari hii kwa kina kwa jicho la usalama, mi nimesema tu yale ninayoyatilia shaka.
1. Rais asiwaamini haraka kwani inawezekana ni mkakati wa genge kufanya hivyo kufunika kombe na kuhadaa ili wapate nafasi nzuri ya kufanya retaliation bila kuwa na kikwazo.
2. Rais aongeze tahadhari kuliko wakati wowote, hao walioomba msamaha wakubwa wao hawajaomba msamaha hivyo msamaha wao haujapata mshindo thabiti wenye kushawishi udhati wake. Izingatiwe kuwa tunakwenda uchaguzini, yaweza kuwa wanaitaka nitoke vipi.
Ni kazi ya vyombo vyetu makini vya usalama kuidadavua tahadhari hii kwa kina kwa jicho la usalama, mi nimesema tu yale ninayoyatilia shaka.