My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Kuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi.
Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.
Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.
Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.
Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke
Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.
Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.
Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.
Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke