Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,313
- 105,142
Alikua mkazi wa Mbeya, lakini kasheshe zake hadi wazee wa xenophobia wanajuaHuyo Jombi alifanyia wapi shughuli zake?
Alikua mkazi wa Mbeya, lakini kasheshe zake hadi wazee wa xenophobia wanajuaHuyo Jombi alifanyia wapi shughuli zake?
Ya mji gani?
Mi niongezewe chapati ziwe tatuchai chapati moja
habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jamboKuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi.
Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.
Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.
Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.
Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke
huyu jombi nakaa mtaa mmoja na familia yake hapa maeneo ya UMATI mbeya ni moja ya majambazi waliokuwa mashukhuri kweli kweli nadhani alipigwa sindano za sumu maana alikufa akiwa anasoma gazeti sebulen kwake katika nyumba yake ndogo iliopo maeneo ya Soweto Mara baada ya kutoka jelaHuyo Jombi alifanyia wapi shughuli zake?
Kuna mwingine alikuwa Anaitwa Abel alipiga Nondo watu mia kidogoo
Ujambaz ni mbinu, Abeli anashkwaje kirahis mtoni?Abel hakuwa jambazi, alikuwa kibaka tu ,ndiyo maana likamatwa kiboya sana akiwa amejificha pembeni ya mto..
Guzman walishatusaidia kumfukia au bado?habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo
Wee abel mpaka RPC alipewa masaa awe amemshikaaa. .!! Akaongezewa na polisi kikosi kazi kimsake kibaka Yule aliua watu wengi sana na kupora maliAbel hakuwa jambazi, alikuwa kibaka tu ,ndiyo maana likamatwa kiboya sana akiwa amejificha pembeni ya mto..
Serious alichinjwa au unamaanisha nnSura mbaya alikuwa anatumia madawa, pamoja na ubabe wake, aliuawa, alichinjwa, kiboya sana
Kuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi.
Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.
Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.
Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.
Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke
Huyu alikuwa mbabe sana aisee alikuja kushughulikiwa na RPC Saanya. Aliwekwa ndani (mahabusu) zaidi ya miaka 6. Siku alipokuja kuachiwa hakuamini alibaki hapo mahakamani mpaka saa 12 jioni alipoombwa na askari kuwa aondoke yuko huru.Huyo Jombi alifanyia wapi shughuli zake?
Hili kundi lilikuwa pale uwanja wa Karume kwenye yale makaburi. Kundi lilivuma sana miaka ya 1970s. Wakati likiwa linaelekea ukingoni kuna mtu anayeitwa Hamisi Kiguru (Alikuwa anachenjegua, mguu mmoja ulikuwa na hitilafu). Walikuwa ni wabakaji na waizi kwa watu waliokuwa wanapita njia maeneo yale.Miaka hiyo alikuwepo mwingine aliitwa
BLACK SEPTEMBER alitisha sana
usikute wewe ndiyo sura mbaya
[/QUOTE
Daah Mimi kama mgeni hapoKuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi.
Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.
Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.
Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.
Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke
Amita Bachani - WahindiHuyo Amita Bachani alikuwa polisi au mwamba naye kama MWAMBA?