Wewe unapenda nini kwenye maisha yako?Sijawahi ona hii sura before zaidi ya kusikia mchekeshaji maarufu kandei... nilishikwa na butwaa kusikia maarufu na mimi simfahamu... ila wapenda ujinga ujinga wote wanamfahamu...
Jamani kumbe alikuwa mzuri tu mungu ailaze roho yake mahala pema. Peponi
HAHAHA KUSAKA PESA KULIMUHARIBU HUYU JAMAA KUMBE NI HANDSOME TUU NIMEJIKUTA NACHEKEA KEYBOARD HAHAHAHAH
yaani nilikuwa natamani kweli kuona sura yake halisi, kumbe ni mzuri hivi
wekeni clip yake niona kama anachekesha...
Ah Wengine hupata umaarufu wakisha ndei... so ndio nimetaka kumtathimini tu...We si umewambia wenzio wapenda ujinga sa unataka clip ya nini..usiwe unajikweza wakati na wewe ni apecha alolo
Hii ndio JF bwana unaweza kukuta kalala na njaa wiki akija huku anajifanya baakubwa ID fake unategemea nini?Acha kuita watu wajinga kwani wewe ni nani haswa?Watu wengine kwa kujikweza utafikiri wana chochote kumbe masikini kapuku...