Selemani Sele
Senior Member
- Feb 25, 2023
- 148
- 410
- Thread starter
- #21
Njia ni moja piga uaBadilisha njia unaporudi nyumbani
Njia ni moja piga uaBadilisha njia unaporudi nyumbani
Wasambaa wengiIvyo vikachori na pweza vina addiction ya kuvichoma choma na stick na vinamaliza pesa vibaya,mloge uyo muuzaji shame ayo maeneo ,
Mkuu unapata choo kawaida?Kwa kuwa unatumia fedha zako kula, we jenga shavu.
Mimi nina addiction ya tambi mbichi. Natafuna kile kipakti kimoja cha Santa Lucia ndani ya siku mbili.
Lakini naenjoy.
😂😂😂Ishu sio supu unakaa unakuta umekula kachori za buku jeroWanaopiga bia watasemaje sasa kama supu ya 300 unalalamika
😂😂😂😂Mshahara mdogokwani pesa kazi yake ni nini mdogo wangu.....mabula sai kafa kaziacha..م
😂😂Leo nimemla aisee nimefika muuzaji kanichangamkia boom 3000 imeendaIla pweza mtamu sana na samaki Taa, vichenchi chenchi vyote vinaishia hapo.
😂😂Unakuta mchana hujala ukija hapo ni mashambuliziUsipite hayo maeneo wanayouza ukiwa na njaa,. hakikisha umeshiba ndo upite hapo itakusaidia kutotamani hiyo pweza na kachori
Njia ni mojaBadili njia..
Mkuu unapata choo kawaida?
Nahisi ngoma inaziba choo, ukikata gogo lazima ulie au ujishikie kwenye kitu choc
Watu wanabishaAna addiction yule na vile vikachori lazima tu uache 2000/3000 kwa siku.
Basi usile tena nikikwambia kitu wanachoweka humo kwenye hizo supu hutazisogelea tena..Njia ni moja
Hebu acha ujinga. Kuna siku utasema chakula kinakumalozia fedha. Hii 60,000 ni hela natumia siku moja kwenye bia na washkaji.Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.
Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.
Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.
Tushee experience walevi wenzangu
Heee hebu tupasheBasi usile tena nikikwambia kitu wanachoweka humo kwenye hizo supu hutazisogelea tena..
AsantePole.
Kwenye pweza ni unneccesary mbna kula nikiwa nimejaa natumia 20k kwa sikuHebu acha ujinga. Kuna siku utasema chakula kinakumalozia fedha. Hii 60,000 ni hela natumia siku moja kwenye bia na washkaji.
Pombe sawa ila we unavyoona pweza inastahili kula hela hivyoMh yaani vipweza vinakumalizia hela?
Ungeingia katika pombe sijui ungesemaje