Kwangu utakufaNije niwekeze mkuu maumivu yaweza kupungua
Hapa si salama mkuuAta nikifa nitakuwa nimekufa kwenye mikono salama
Ha ha hayaMi kwangu ni salama
Napenda nikuhakikishie kuwa huku chuo tutamla sana!Mm mwenyew wakwangu yupo chuo tushapangab sas nae akinisuprise fresh tu ila nguo zake zpo kwangu
Asante mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aya mkuu jioni njema bhana
Sio kwamba namkatisha tamaa! Hapana.... Ila ni maisha fulani ambayo watoto wa chuo hupitia kuwa na wanachuo wenzao..hivyo ni sababu za kimazingira zitakazo mmaliza..Unamkatisha tamaa mkuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hiyo kimpango wako. Na ulivyomsubirisha??? Mungu alifunga mlango kwako,akamfungulia mlango alio stahiri. Unaleta sababu za kitoto eti kulala na njaa nyie ndio mngekuwa wa kwanza kulala na bila kula!!!we vipi?Better for her self wakati maumivu kwangu
Ndio kashaolewa na hataki umsumbue....in short ukome.Unaongea tu
Ndio mimi hapa kwani ulikuwa hujui?Au ndio wewe ni mkuu Umekuja kwa id ngenni humu Jf kunimalizia kabisa