Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,197
Penye wakubwa hapaharibiki jambo.... Mwanamke alimzidi kauwezo ka kuyajua mahausiano yao....Pole sana kijana ila naomba nikwambie kitu Huyo mpenz wako alikuwa ana kusaliti mapema bila wewe kujua na huo mpango wa yeye kuolewa na huyo jamaa ulikuepo pasipo wewe kujua
Nawaza kwamba inawezekana alijua kabsa kws Sasa huna ubavu wa kumuoa hivyo akatumia hiyo njia kukukimbia.
Kumbuka kuwa ndoa ni mpango wa muda mrefu wenye mikakati mingi ndani yake pamoja na hatua muhimu kama kutoa posa na mengine mengi hivyo tambua dhahili kuwa Kipindi mko kwenye relationship yeye alikuwa mguu mmoja ndani mwingine nje okay wewe ulisahau kuweka wako mmoja nje
Kiukwel inaumiza sana I can imagine unavyo umia now but katika mahusiano don't trust a woman hata kidgo hiyo ndio siraha pekee ya kukuepusha na maumivu ya kijinga kama haya
Mungu akutangulie katika safari ya maamzi mapya but be careful
Jamaa alikuwa mzima mzima kadumbukia kama yupo kwenye dimbwi la kuogelea huku mtoto akiendelea kumzamisha asione chochote.