Suppression of Dissent; Mbowe ni Shujaa

Suppression of Dissent; Mbowe ni Shujaa

Mhhh hii hoja mpya...inafikirisha, jambo ambalo watanzania wengi hawalipendi ingawa inawalazimu kulifanya.

Kumbe CCM walishaingia mkataba na Prof Lipumba ili awauzie CUF., kisha Mbowe akaja kutibua Dili kwa kumuuzia CHADEMA, CUF, NLD, NCCR - Mageuzi kwa wakati mmoja kwa mwanaCCM wa zamani na swahiba wa karibu wa Jakaya Ndugu Edward Ngoyai.

Kama sio U-geniuos wa Mbowe leo UPINZANI wote usingelikuwa chini ya MwanaCCM kindakindaki..

Mbowe ni mfanyabiashara mkubwa tu,kwasasa anakamilisha mipango ya kuileta tanzania katika siasa za biashara kitu ambacho kitaialibu Tanzania na watu wake wote....kiongozi makini hawezi kumkumbatia mwanasiasa
 
Ushujaa wa Mbowe ulioonekana mbele ya macho ya watanznia ni ule wa kuwachezea mchezo wa pata potea wanachama, viong0zi wenzie wa juu ndani ya chadema(ZITTO NA SLAA) na wa vyama vingine viundavyo UKAWA.
 
Ninachokiona sasa ni kwamba Ndg Mbowe alichokifanya si kwa ajili ya maslahi ya chama bali ni kwa maslahi binafsi, na matokeo ni kupoteza dira ya kisiasa kunakowafanya CHADEMA washindwe hata kutetea hoja, kutokana na kile kinachosemwa, kuwa ni kutoelewana wenyewe kwa wenyewe na kutokea kwa mpasuko, na ndio maana wamekosa hoja za msingi kufikia hatua ya kugonganisha hoja zao wenyewe.
 
Mbowe anasifa moja kuu.. hana price Tag! Lowassa mwenyewe alikuwa anashangaa inakuwaje Mbowe anaandaa kila kitu bila kumwambia achangie hata cent tofauti na manzi ya CCM yaliyokuwa yanamchuna kila siku.... Lowassa ana nenepa baada ya kuona Mbowe anarusha Chopper 4 kwenye Kampeni ... UKAWA wanashambulia kila kona ... Mbowe ni zaidi ya Genius ... Ukwasi wake umewapa maisha wasaliti wote! Slaa anasema kuwa alikuwa na maisha Duni Mbowe akamnyanyua juu akamjengea hadi nyumba... ZZK aliwahi kulalama eti Mbowe asimsimange nyumbani kwakwe pamoja na kuwa alimfundisha siasa akambeba kama mwanae ... anyway fadhila mfadhili Mbuzi lakini si hawa social climber wenye kuhongwa fedha za ESCROW ...
 
Hiki chama kilianzishwa kwa maslahi ya familia fulani, ukiona mtu anafukuzwa kwenye chama hicho ujue alienda kinyume na matakwa ya wenye chama chao.

Habari ndiyo hiyo, nyie shangilieni tu mkidhani ni chama cha ukombozi kumbe ni chama cha tumbo la familia
Kumbe na Lowassa ni mwana familia?
 
Ccm walichukua form tu ila sio wote 42 walipewa nafasi ya kunadi Sera zao

Au huyo jamaa amesahau kuwa MWENYEKITI wao CCM alikuja na majina mfukoni???.Kweli nyani Haoni Tigo yake.
 
Huna jipya hapa ni chadema/ukawa kwenda mbele kwa sana tu hakuna nakna nyingine ni mabadiliko nje ya ccm
Kama hamtataka mabadiliko kupitia CCM, mtapata maendeleo ya ufisadi ndani ya CHADEMA, sababu CHADEMA ya sasa imekuwa ni kichaka cha kujifichia watu waovu, waongo na wanafiki.
 
huo ndio mwisho wako wa kufikiri.

Halmashauri ya akili yako haina akili.
wewe akili zako unafikiria vipi??mbowe lazima aumbuke na kuacha siasa za maji taka....
Maana watanzania tumeshaamua hatutaki fisadi katika nchi hii wanatutia hasara kubwa kwa taifa
 
11896122_116820222004365_5517283645239146399_n.jpg



SUPPRESSION OF DISSENT occurs when an individual who is more powerful than another tries to directly or indirectly censor, persecute or otherwise oppress the other party, rather than engage with and constructively respond to or accommodate the other party's arguments or viewpoint. When dissent is perceived as a threat, action may be taken to prevent continuing dissent or penalize dissents.

Tafsir ya maneno ya hapo juu ni hii;

UKANDAMIZAJI WA UPINZANI hutokea wakati mtu ambaye ana nguvu zaidi ya wenzie anapojaribu moja kwa moja ama kwa namna yeyote ile kuwadhibiti, kuwatesa au kuwaonea wengine, badala ya kushirikiana/kujihusisha nao katika kuboresha ama kujibu hoja au mitazamo ya wenzake hao. Jambo hili hufanyika ikiwa huyu mmoja anaona wale wengine ni tishio, huchukua hatua za kuwazuia wenzake ama kuwashurutisha na kuwaondoa.

KUTOKANA na picha ya hapo juu;

Kutoka kulia;

Hamad Mussa Yusuph (mwenye kombati nyeusi "Msaliti") - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA znz ambaye kwa sasa ni mgombea mwenza wa ACT Wazalendo.

Aikaeli Freeman Mbowe (SHUJAA) - M/kiti wa CHADEMA wa wakati huo na wa sasa.

Wa katikati, Peter Wilbrord Slaa (Msaliti) - Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, kwa sasa ni Mwanaharakati asiye na chama.

Mwenye fulana ya M4C, Said Arfi (Msaliti) - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara ambaye kwa sasa ni Mwanachama wa CCM.

Wa mwisho aliyevaa Kombati, Zubeir Zitto Kabwe (Msaliti) - Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo.

Hahaha nacheka lakini inasikitisha sana inawezekana vip katika picha hiyo yote hapo juu yeye amebaki peke yake inamaaana yeye ndio msafi kuliko wengine? ama ndio anatumia nguvu ya madaraka kunyanyasa wengine?
Kwa akili ya haraka tu ukiangalia hiyo picha unatambua kabisa hapo zimetumika nguvu za madaraka ambazo zimefanywa na mtu mmoja ambae ni mbowe ,maana haiwezekani wote kwake wakawa wabaya yeye tu ndio mzuri huyu ni Gaidi anaeaplly unyanyasaji kwenye ubinadamu wa viongozi wake na tumeshtuka na tumetambua iliyokweli sasa sisi ni wafuasi wa CCM na MAGUFULI ndio kura yetu
 
Shujaa ni yule anaesimamia ukweli na misingi aliojiwekea since day one. mbowe msingi wake Disco maana halijawahi kuvunjwa au kuhamishwa maeneo...hahahahha....well done wapinzani....mmenyoosha njia kwa CCM kuingia ikulu..CCM OYEEEEEEEEEEE

Kwa hali hii UKAWA wamepoteza dira hali ya kuwa wapo bahari ya kina kirefu, hakuna kingine bali watazama tu au wapotee kule wanakoelekea. Mpaka sasa sijaona kiongozi mwenye utashi wa kuwa kiongozi kwa dhati yake mwenyewe bila ya msukumo wa mtu yeyote, isipokuwa ni uchu tu ambao utawanufaisha baadhi waliopo nyuma yao na kuididimiza nchi
 
Do you believe in tyranny and high churn?

Kama Mbowe angekuwa meneja wa sehemu ambayo key people wanaondoka hivyo, ingebidi aulizwe sana kuhusu management yake.

Inawezekana yeye ndiye mwenye tatizo.
 
Kwa hali hii UKAWA wamepoteza dira hali ya kuwa wapo bahari ya kina kirefu, hakuna kingine bali watazama tu au wapotee kule wanakoelekea. Mpaka sasa sijaona kiongozi mwenye utashi wa kuwa kiongozi kwa dhati yake mwenyewe bila ya msukumo wa mtu yeyote, isipokuwa ni uchu tu ambao utawanufaisha baadhi waliopo nyuma yao na kuididimiza nchi

kwa ushauri, rudini tu CCM au kama wanataka kuendelea kuwa wapinzani wakajiribu kulipia kadi zao kwenye chama kingine CDM is already dead. mazishi ni october 25.
 
Mbowe anasifa moja kuu.. hana price Tag! Lowassa mwenyewe alikuwa anashangaa inakuwaje Mbowe anaandaa kila kitu bila kumwambia achangie hata cent tofauti na manzi ya CCM yaliyokuwa yanamchuna kila siku.... Lowassa ana nenepa baada ya kuona Mbowe anarusha Chopper 4 kwenye Kampeni ... UKAWA wanashambulia kila kona ... Mbowe ni zaidi ya Genius ... Ukwasi wake umewapa maisha wasaliti wote! Slaa anasema kuwa alikuwa na maisha Duni Mbowe akamnyanyua juu akamjengea hadi nyumba... ZZK aliwahi kulalama eti Mbowe asimsimange nyumbani kwakwe pamoja na kuwa alimfundisha siasa akambeba kama mwanae ... anyway fadhila mfadhili Mbuzi lakini si hawa social climber wenye kuhongwa fedha za ESCROW ...

Naona kama uko nje ya maada hivi maana unachoongea ni tofautu na hoja ya mtoa maada ya leo embu soma kwana upya then changia tena kwa mara nyingine maoini yako,ila kwa kifupi tu mbowe hawezi kua msafi zaid ya hao wote aliowafukuza na wengine kuwafanyia hujuma na pili tambua kwamba mbowe ni mfanya biashara na hana lengo lolote la msingi kwa wanachi na hata viongozi wake na ndio maana yuko radhi hata kuuza utu wa mtu ama thamani ya mtukwa pesa na tatu mbowe hizo chopper anazorusha nne unajua zimetoka wapi? na kwa pesa ya nani tambua mamlaka nzima ya chadema inaongozwa na mzee mtei na ndio mtoa maamuzi ya mwisho na mbowe ni mtekelezaji tu na nne unajua source ya kabwe kutimuliwa chadema na kwa misingi gani?
Tafakari kwa makini then unipe jibu ila kwa kifupisho hiko naomba nikushauri achana na siasa za chadema na ukawa nzima hazina mashiko wala mantiki yoyote ni watu wenye uchu wa madaraka na wasakatonge
 
Nathubutu kusema ushujaa huu ni wa kipuuzi. Wanapokuwa bungeni tunawaamini sana, wakisema fulani ni fisadi tunaamini. Lakini hivi sasa wapo uraiani wanasema yule fulani aliyekuwa fisadi hivi sasa ni msafi, tunaamini, hivi sisi hatuna vichwa vya kufikiria, ni kwanini wasimsafishe hapo awali, nimesense kwamba kuna kitu katikati kinaitwa maslahi binafsi wayapatayo wasema uongo katika UKAWA, Mbowe na baadhi ya viongozi wenzie ni waongo na wapo kimaslahi kabisa. Tusiruhusu tena kuwapa hata ubunge,
 
11896122_116820222004365_5517283645239146399_n.jpg



SUPPRESSION OF DISSENT occurs when an individual who is more powerful than another tries to directly or indirectly censor, persecute or otherwise oppress the other party, rather than engage with and constructively respond to or accommodate the other party's arguments or viewpoint. When dissent is perceived as a threat, action may be taken to prevent continuing dissent or penalize dissents.

Tafsir ya maneno ya hapo juu ni hii;

UKANDAMIZAJI WA UPINZANI hutokea wakati mtu ambaye ana nguvu zaidi ya wenzie anapojaribu moja kwa moja ama kwa namna yeyote ile kuwadhibiti, kuwatesa au kuwaonea wengine, badala ya kushirikiana/kujihusisha nao katika kuboresha ama kujibu hoja au mitazamo ya wenzake hao. Jambo hili hufanyika ikiwa huyu mmoja anaona wale wengine ni tishio, huchukua hatua za kuwazuia wenzake ama kuwashurutisha na kuwaondoa.

KUTOKANA na picha ya hapo juu;

Kutoka kulia;

Hamad Mussa Yusuph (mwenye kombati nyeusi "Msaliti") - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA znz ambaye kwa sasa ni mgombea mwenza wa ACT Wazalendo.

Aikaeli Freeman Mbowe (SHUJAA) - M/kiti wa CHADEMA wa wakati huo na wa sasa.

Wa katikati, Peter Wilbrord Slaa (Msaliti) - Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, kwa sasa ni Mwanaharakati asiye na chama.

Mwenye fulana ya M4C, Said Arfi (Msaliti) - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara ambaye kwa sasa ni Mwanachama wa CCM.

Wa mwisho aliyevaa Kombati, Zubeir Zitto Kabwe (Msaliti) - Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo.

Kuvunja katiba ya chama kilichoanzishwa miaka kadhaa iliyopita kwa muda wa siku moja, kwa ajili ya mtu mmoja, aliyeitwa fisadi ndio ushujaa wenyewe wa kilofa.
 
Falsafa ya mbowe inanikumbusha machiavell mwana falsafa ambaye, anachokiamini yeye "yoyote utakae muona ni tishio katika uongozi wako basi hakikisha unamuondoa"ndio ambacho mbowe anafanya kuhakikisha analinda maslahi yake binafsi na familia yake pasi na kufikiria Watanzania wote, kwa sababu amekua ni mtu waku andaa mazingira yaku hakikisha wenye uzalendo wakweli wana ondoka chadema,kuondoa kwa wazalendo kama slaa ndio sababu yakufa kwa falsafa nzima ya chama hicho na badala yake kimekua na falsafa yakukumbatia watu ambao ni mafisadi. WATANZANIA TUSIMAMIE UKWELI.
 
Do you believe in tyranny and high churn?

Kama Mbowe angekuwa meneja wa sehemu ambayo key people wanaondoka hivyo, ingebidi aulizwe sana kuhusu management yake.

Inawezekana yeye ndiye mwenye tatizo.
Kuna tatizo gani endapo watu wanaondoka meneja anabaki lakini taasisi inakua kwa kasi ya ajabu? Wenye matatizo ni hao wanaoondoka na si meneja vinginevyo taasisi ingeshaanguka zamani.
 
mbowe kweli ni MAFIA nime mkubali, kila ambaye yeye ana muona kuwa ana falsafa ya kweli kuwatumikia watanzania anapambana nae, mungu kweli hamfichi mnafiki, sasa ameamua kumleta fisadi papa na kuiaminisha jamii atafanya mambo mazuri kwa watanzania, SASA safari hii tuta pambana nae sisi wananchi tunao penda maendeleo yakweli itakua zamu yake yeye na mwizi wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom