Hauwezi kulinganisha.,ya sasa imekufa kifo cha Mende, chali kabisa.wewe haujielewi nn, chadema ya 2010, utalinganisha na ya sasa?
Hauwezi kulinganisha.,ya sasa imekufa kifo cha Mende, chali kabisa.wewe haujielewi nn, chadema ya 2010, utalinganisha na ya sasa?
Dereva boda boda anapo niambia hivi namuunga mkono 100% na nayaheshimu mawazo lakini na msomi?
"Awe mwizi awe fisadi ntampigia kura tu "
Lakini msomi kabisa uchukue nchi yako umpe MTU ambaye unamuita mwizi na fisadi na hapo hapo utegemee mabadiliko? Mimi nadhani msomi huyo kwanza atakuwa hajui key ya mabadiliko ni nini ? Hapana hapana hapana
Hivi na Mimi kabisa nichukue nchi yangu nimpe MTU ambaye mshamtilia mashaka nyie wenyewe na mnasema Kama mwizi mwizi .hivi tumekosa kabisa mpaka tuamue wenyewe nchi yetu kumkabidhi mwizi? Basi huo wimbo mabadiliko tuondoe kabisa hauna maana hapo .Dunia ikitusikia kwanza itatushangaa watanzania wote.
Tukatafuteni namna bora yenye ushawishi sio hiyo hapana hapana
Ikulu sio mahala pa walanguzi .
Na mwizi ni mwizi tu
Hilo tangazo linakiri kuwa MNACHAGUA SHETANI. Lisome kwa Makini na utafakari na sio kufuata Mkumbo....
Masikio macho pande hii jomba mbele kwa mbele !!!
![]()
Hilo tangazo linakiri kuwa MNACHAGUA SHETANI. Lisome kwa Makini na utafakari na sio kufuata Mkumbo.
Hilo tangazo linakiri kuwa MNACHAGUA SHETANI. Lisome kwa Makini na utafakari na sio kufuata Mkumbo.
Ndio, MIMI ni msomi ninayetimiza wajibu wangu wa kukusaidia kufikiri.Na wewe ni msomi?
Ni wachache wenye macho ambayo wanayatumia kuangalia kwayo..,wengi wanamacho lakini hawaoni..!!Hilo tangazo linakiri kuwa MNACHAGUA SHETANI. Lisome kwa Makini na utafakari na sio kufuata Mkumbo.
Hilo tangazo linakiri kuwa MNACHAGUA SHETANI. Lisome kwa Makini na utafakari na sio kufuata Mkumbo.
wewe haujielewi nn, chadema ya 2010, utalinganisha na ya sasa?
Inawezekana kuna watu wako overexcited, lakini naweza kuelewa kwa nini watu wanafeel hivyo.
CHADEMA imekuea ikimuita Lowassa fisadi papa siku zote hizi, leo Lowassa huyu huyu ndiye mgombea wao wa urais?
Kulikoni?