magufuliforpresident
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 159
- 59
- Thread starter
- #21
Vipi Arifee,, bado ni member wa kudumu wa Tripple AAA..?Huo ndio mwisho wako wa kufikiri.
Halmashauri ya akili yako haina akili.
Vipi Arifee,, bado ni member wa kudumu wa Tripple AAA..?Huo ndio mwisho wako wa kufikiri.
Halmashauri ya akili yako haina akili.
Sio kosa lako, inawezekana hausikilizi chombo chochote cha habari..Ccm walichukua form tu ila sio wote 42 walipewa nafasi ya kunadi Sera zao
Mkuu Mbowe ndio kamanda wa kweli tz hii, mijambazi ya ccm imemshindwa, Nafikiri utajiri wake nao umechangia. Mtu ukiwa maskini maskini kama alivyokuwa slaa, zitto, kikwete and co. ni rahisi sana kununuliwaMbowe hana bei...
ukawa toleo jipya haifai kupewa dhamana ya kuongoza taifa hili pendwa la jmt, ni genge la wahuni, wasaliti wa misingi yao, vigeugeu, wanafiki na wazandiki waliotukuka, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, tumeshasema kwa wingi kuwa hatutachagua ukawa toleo jipya.
mliotolewa ufahamu endeleeni na uzezeta wenu.
Hotuba ya mh. Slaa imenisaidia sana kuwajua wanasiasa kwa undani zaidi! Kubwa zaidi hata tukiamini maneno yao, lakini siyo wakutegemea! Hawa watakuacha njiani, lakini kuna ukweli uliofchika, ambao labda hata yeye Slaa hajauona.
Mbowe ni genius! Slaa amenisaidia kumwona Mbowe katika ubora wake, siyo ukabila lakini kuna wakati Wachaga wapewe sifa wanazo stahili. Mbowe anafahamu hesabu na anachanga karata zake na kuzicheza vizuri sana!
Sijui kwa wengine lakini, kusema kweli mimi naona urafiki wa Mbowe na EL siyo wa kudumu. Baada ya October 25, litajengwa 'tofali' jipya katika ujenzi wa democrasia ya vyama vingi Tanzania bila kujali itashinda UKAWA au CCM! Muungano wa UKAWA na EL, una nia moja tu kupunguza absolute power ya CCM na kama siyo CCM kufa basi iwekwe kwenye viwango sawa na vyama vingine.
Anyway u-genius wa Mbowe upo wapi? Ni kwenye 'usajili!' EL, 2015 kama Slaa mwaka 2010, ni 'mchezaji' mkali ambaye unaweza kumtumia sasa kubeba ubingwa wakati ukiendelea kukuza vipaji! Kuna fursa Mbowe ameiona, ambayo hata Slaa hakujua 2010 kwamba alikua 'usajili' wa msimu ule! Mbowe ni 'mtaalamu' hata ukimwita jina gani, au useme ameuza chama, kwa kazi ya mwenyekiti wa chama ni nini?! Uza chama, I mean, uza chama!! Wakati kuna watu vyama vinawadodea na kuwafia mikononi, Mbowe anauza chama.............chema chajiuza!
Hongera Mbowe, wacha EL akusogeze, kama siyo kukamata nchi mwaka huu, lakini mwendo huu, lazima utakua karibu! Mbowe amecheza, ni bonge la kocha, na Lazima tumpe pongezi zake!
Mhhh hii hoja mpya...inafikirisha, jambo ambalo watanzania wengi hawalipendi ingawa inawalazimu kulifanya.
Kumbe CCM walishaingia mkataba na Prof Lipumba ili awauzie CUF., kisha Mbowe akaja kutibua Dili kwa kumuuzia CHADEMA, CUF, NLD, NCCR - Mageuzi kwa wakati mmoja kwa mwanaCCM wa zamani na swahiba wa karibu wa Jakaya Ndugu Edward Ngoyai.
Kama sio U-geniuos wa Mbowe leo UPINZANI wote usingelikuwa chini ya MwanaCCM kindakindaki..
Inawezekana Mbowe akawa kweli ni genius kama wewe ulivyo mpamba lakini najiuliza maisha yake kisiasa baada ya kushindwa itakuwaje. Trust me maneno aliyoyatoa Dr Slaa inawezekana wasione kama yana madhara sasa lakini baada ya uchaguzi ndo yatakua maneno ambayo yatawasumbua Mbowe na wenzake ndani ya Chama watanyooshewa sana vidole na kukosa mvuto mbele za watu.
![]()
SUPPRESSION OF DISSENT occurs when an individual who is more powerful than another tries to directly or indirectly censor, persecute or otherwise oppress the other party, rather than engage with and constructively respond to or accommodate the other party's arguments or viewpoint. When dissent is perceived as a threat, action may be taken to prevent continuing dissent or penalize dissents.
Tafsir ya maneno ya hapo juu ni hii;
UKANDAMIZAJI WA UPINZANI hutokea wakati mtu ambaye ana nguvu zaidi ya wenzie anapojaribu moja kwa moja ama kwa namna yeyote ile kuwadhibiti, kuwatesa au kuwaonea wengine, badala ya kushirikiana/kujihusisha nao katika kuboresha ama kujibu hoja au mitazamo ya wenzake hao. Jambo hili hufanyika ikiwa huyu mmoja anaona wale wengine ni tishio, huchukua hatua za kuwazuia wenzake ama kuwashurutisha na kuwaondoa.
KUTOKANA na picha ya hapo juu;
Kutoka kulia;
Hamad Mussa Yusuph (mwenye kombati nyeusi "Msaliti") - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA znz ambaye kwa sasa ni mgombea mwenza wa ACT Wazalendo.
Aikaeli Freeman Mbowe (SHUJAA) - M/kiti wa CHADEMA wa wakati huo na wa sasa.
Wa katikati, Peter Wilbrord Slaa (Msaliti) - Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, kwa sasa ni Mwanaharakati asiye na chama.
Mwenye fulana ya M4C, Said Arfi (Msaliti) - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara ambaye kwa sasa ni Mwanachama wa CCM.
Wa mwisho aliyevaa Kombati, Zubeir Zitto Kabwe (Msaliti) - Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo.
![]()
SUPPRESSION OF DISSENT occurs when an individual who is more powerful than another tries to directly or indirectly censor, persecute or otherwise oppress the other party, rather than engage with and constructively respond to or accommodate the other party's arguments or viewpoint. When dissent is perceived as a threat, action may be taken to prevent continuing dissent or penalize dissents.
Tafsir ya maneno ya hapo juu ni hii;
UKANDAMIZAJI WA UPINZANI hutokea wakati mtu ambaye ana nguvu zaidi ya wenzie anapojaribu moja kwa moja ama kwa namna yeyote ile kuwadhibiti, kuwatesa au kuwaonea wengine, badala ya kushirikiana/kujihusisha nao katika kuboresha ama kujibu hoja au mitazamo ya wenzake hao. Jambo hili hufanyika ikiwa huyu mmoja anaona wale wengine ni tishio, huchukua hatua za kuwazuia wenzake ama kuwashurutisha na kuwaondoa.
KUTOKANA na picha ya hapo juu;
Kutoka kulia;
Hamad Mussa Yusuph (mwenye kombati nyeusi "Msaliti") - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA znz ambaye kwa sasa ni mgombea mwenza wa ACT Wazalendo.
Aikaeli Freeman Mbowe (SHUJAA) - M/kiti wa CHADEMA wa wakati huo na wa sasa.
Wa katikati, Peter Wilbrord Slaa (Msaliti) - Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, kwa sasa ni Mwanaharakati asiye na chama.
Mwenye fulana ya M4C, Said Arfi (Msaliti) - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara ambaye kwa sasa ni Mwanachama wa CCM.
Wa mwisho aliyevaa Kombati, Zubeir Zitto Kabwe (Msaliti) - Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo.
watanzania wanataka mabadiliko tena sana, tunataka mabadiliko ya kupungana na rushwa na ndio maan kwenye ilani ya ccm ni miongoni mwa vipaumbele 4. Tunataka mabadiliko ndio maan tunamchagua mchapakazi aje kua kiongozi wetu tuige kutoka kwake, tunataka mabdiliko ndio maana hatumchagui fisadi kuja kuwa kiongozi wetu maan tukiiga kwake na sisi tutakua kama yeye, tunataka mabadiliko ndio maan katika nafasi za juu za uongozi pia kuna mwnamke tofauti na zamani, tunataka mabadiliko ndio maana tunataka kuifanya elimu kua bure kuanzia chekechea had kidato cha nne lakini pia tunataka mabadiliko ndio maan tyuinafungua mahakama ya kupamban na mafisadi
hatutaki mabadiliko yaliyotwaliwa na matumbo ya watu wenye njaa ambao wako tayari kuuza wenzio ili wao washibe, hatutaki mabadiliko ya mtu ambae yupo tayari kutumia mamilioni ya pesa ili aingie ikulu. Tunataka mabadiliko yatakayonufaisha taifa zima.
#hapakazitu
Hotuba ya mh. Slaa imenisaidia sana kuwajua wanasiasa kwa undani zaidi! Kubwa zaidi hata tukiamini maneno yao, lakini siyo wakutegemea! Hawa watakuacha njiani, lakini kuna ukweli uliofchika, ambao labda hata yeye Slaa hajauona.
Mbowe ni genius! Slaa amenisaidia kumwona Mbowe katika ubora wake, siyo ukabila lakini kuna wakati Wachaga wapewe sifa wanazo stahili. Mbowe anafahamu hesabu na anachanga karata zake na kuzicheza vizuri sana!
Sijui kwa wengine lakini, kusema kweli mimi naona urafiki wa Mbowe na EL siyo wa kudumu. Baada ya October 25, litajengwa 'tofali' jipya katika ujenzi wa democrasia ya vyama vingi Tanzania bila kujali itashinda UKAWA au CCM! Muungano wa UKAWA na EL, una nia moja tu kupunguza absolute power ya CCM na kama siyo CCM kufa basi iwekwe kwenye viwango sawa na vyama vingine.
Anyway u-genius wa Mbowe upo wapi? Ni kwenye 'usajili!' EL, 2015 kama Slaa mwaka 2010, ni 'mchezaji' mkali ambaye unaweza kumtumia sasa kubeba ubingwa wakati ukiendelea kukuza vipaji! Kuna fursa Mbowe ameiona, ambayo hata Slaa hakujua 2010 kwamba alikua 'usajili' wa msimu ule! Mbowe ni 'mtaalamu' hata ukimwita jina gani, au useme ameuza chama, kwa kazi ya mwenyekiti wa chama ni nini?! Uza chama, I mean, uza chama!! Wakati kuna watu vyama vinawadodea na kuwafia mikononi, Mbowe anauza chama.............chema chajiuza!
Hongera Mbowe, wacha EL akusogeze, kama siyo kukamata nchi mwaka huu, lakini mwendo huu, lazima utakua karibu! Mbowe amecheza, ni bonge la kocha, na Lazima tumpe pongezi zake!