Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Wakawaambie:
Wahisani: Nyie siku ile mulijifanya kutoka nje ya ukumbi wakati Mkwere anahutubia bunge.........Why?
Chadema: Alichakachua kura za wananchi. Ni Rais batili.
Wahisani: Leteni ushahidi. Hatutaki viduku hapa.
Chadema: Huu hapa. (Wanaweka mezani. Assume ushahidi wenyewe ukawa full ukweli)
Itakuwaje???
Mkwere lazima awaite Chadema wayamalize kabla hatujafika huko.
Pole mkwere. Una kazi ku-deal na watu walioenda skuli.
Wahisani: Nyie siku ile mulijifanya kutoka nje ya ukumbi wakati Mkwere anahutubia bunge.........Why?
Chadema: Alichakachua kura za wananchi. Ni Rais batili.
Wahisani: Leteni ushahidi. Hatutaki viduku hapa.
Chadema: Huu hapa. (Wanaweka mezani. Assume ushahidi wenyewe ukawa full ukweli)
Itakuwaje???
Mkwere lazima awaite Chadema wayamalize kabla hatujafika huko.
Pole mkwere. Una kazi ku-deal na watu walioenda skuli.