Elections 2010 Suppose Wahisani Wakawaambia CHADEMA....

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Wakawaambie:

Wahisani: Nyie siku ile mulijifanya kutoka nje ya ukumbi wakati Mkwere anahutubia bunge.........Why?

Chadema: Alichakachua kura za wananchi. Ni Rais batili.

Wahisani: Leteni ushahidi. Hatutaki viduku hapa.

Chadema: Huu hapa. (Wanaweka mezani. Assume ushahidi wenyewe ukawa full ukweli)

Itakuwaje???

Mkwere lazima awaite Chadema wayamalize kabla hatujafika huko.

Pole mkwere. Una kazi ku-deal na watu walioenda skuli.
 
Wakawaambie:

Wahisani: Nyie siku ile mulijifanya kutoka nje ya ukumbi wakati Mkwere anahutubia bunge.........Why?

Chadema: Alichakachua kura za wananchi. Ni Rais batili.

Wahisani: Leteni ushahidi. Hatutaki viduku hapa.

Chadema: Huu hapa. Wanaweka mezani. Assume ushahidi wenyewe ukawa full ukweli

Itakuwaje???

Mkwere lazima awaite Chadema wayamalize kabla hatujafika huko.

Pole mkwere. Una kazi ku-deal na watu walioenda skuli.

Hizo ni ndoto , refer kwenye katiba na wenyewe hawawezi kufanya hivyo kwani sio wajinga kiasi hicho. Jipangeni tu 2015 bana
 
Hizo ni ndoto , refer kwenye katiba na wenyewe hawawezi kufanya hivyo kwani sio wajinga kiasi hicho. Jipangeni tu 2015 bana


Siyo lazima wafanyie Tz.

Wanaweza kuitwa huko huko kwenye nchi za wahisani.

Nauli zipo. Wala hatuhitaji huruma ya CCM kupata nauli ya kwenda anakokwendaga Mkwere kutembeza bakuli la kuomba mpunga.
 
Siyo lazima wafanyie Tz.

Wanaweza kuitwa huko huko kwenye nchi za wahisani.

Nauli zipo. Wala hatuhitaji huruma ya CCM kupata nauli ya kwenda anakokwendaga Mkwere kutembeza bakuli la kuomba mpunga.

Ng'wanangwa, hilo nalo neno ndugu yangu!
 
Itakuwa jambo la mbolea wakubwa wakajua ili wajue misaada inakwenda kwenye mfuko uliotoboka.
No wonder walipunguza fungu kwa the existing budget!
Donors wakikomaa CCM watatia akili hasa NEC in particular na raisi wao
 
Itakuwa jambo la mbolea wakubwa wakajua ili wajue misaada inakwenda kwenye mfuko uliotoboka.
No wonder walipunguza fungu kwa the existing budget!
Donors wakikomaa CCM watatia akili hasa NEC in particular na raisi wao


mwaga mboga na mimi nimwage ugali lol...
hahahahahah:A S-baby:
 
Itakuwa jambo la mbolea wakubwa wakajua ili wajue misaada inakwenda kwenye mfuko uliotoboka.
No wonder walipunguza fungu kwa the existing budget!
Donors wakikomaa CCM watatia akili hasa NEC in particular na raisi wao


mwaga mboga namwaga ugali
 
Hizo ni ndoto , refer kwenye katiba na wenyewe hawawezi kufanya hivyo kwani sio wajinga kiasi hicho. Jipangeni tu 2015 bana

Tatizo huwa tunapenda kupuuzia mambo na kusahau,unakumbuka EPA kupelekwa mahakamani ilikuwa shinikizo la wahisani.Hivi mnafikiri bajeti ya trilion 11 tutaifinance vip wakati mapato yetu hayazidi 5.4 trillion.Halafu anatudanganya eti sa hivi utegemezi wetu ni 28% sidhani kama kuna mwenye akili atakayemwelewa anafanya nini ikulu.Sasa hilo la haki ya uchaguzi lazima lije.
 
dah,i wish this mive iwe na nguvu sana na ilete mafanikio ndani ya mda mfupi kabla ya 2015
 
Natambua iko siku ndoto zenu feki za matokeo kubadilika zitaisha halafu sijui mtaanza kujadilinini.
na kwa nini member wengi mnamtambua mtu kwa ukabila, ninyi si mnapinga ukabila na udini, then why MKWERE?????????
 
Kijana ata mwalimu alisema watz wanaulizana makabila kwa lengo la kutanianiana unakumbuka kwenye hotuba yake liwataja WAKALA
So mtu anaposema mkwele what comes in my mind ni utamaduni wao
 
Uchaguzi umekwisha, yaliyotokea yametokea , tugange tulijenge taifa bwana , wote tunakumbuka sakata la bush na al gore 200o, lakini nini kilitokea? Baadae al gore akampigia simu bush wakayamaliza na nchi ikasonga mbele, sijui sie tunawaza nini ?
 
Uchaguzi umeisha, tujenge nchi sasa

kwani ya bush na al gore 2000 yalikuwaje?kwani al gore hakutumia busara na nchi ikaendelea kujengwa?
 
Uchaguzi umekwisha, yaliyotokea yametokea , tugange tulijenge taifa bwana , wote tunakumbuka sakata la bush na al gore 200o, lakini nini kilitokea? Baadae al gore akampigia simu bush wakayamaliza na nchi ikasonga mbele, sijui sie tunawaza nini ?

Kesi ya Bush na Al Gore haifanani na case ya Dr. SLAA-CHADEMA versus KIKWETE-CCM/NEC. Lazima uelewe hilo.
Katiba ya USA ni tofauti kwa mbali sana na Katiba ya Tanzania. CHADEMA tunataka KATIBA MPYA ITAKAYOWEZESHA KUUNDWA KWA TUME HURU YA UCHAGUZI-NEC. Siyo mtu anachakachua(anaiba)KURA na kuingia madarakani kwa kubebwa na NEC halafu aliyeibiwa KURA anaambiwa hana HAKI YA KUHOJI MATOKEO. That is DICTATORSHIP!
Tunataka KATIBA MPYA BEFORE 2015.
 
hizo ni ndoto , refer kwenye katiba na wenyewe hawawezi kufanya hivyo kwani sio wajinga kiasi hicho. Jipangeni tu 2015 bana

kumbuka mpaka agosti 2009 jwtz walikuwa bado wakiwatesa wapemba. Baada ya wahisani kumuuliza mkwere kuhus ahadi ake kuhusu zanzibar bdipo serikali ya umoja wa kitaifa ikapatikana haraka haraka. Ccm n jk hawana jeuri mbel ya wahisani kutokana na bajeti yao kuwategemea kw akiwango kikubwa sana.
 
Tatizo huwa tunapenda kupuuzia mambo na kusahau,unakumbuka EPA kupelekwa mahakamani ilikuwa shinikizo la wahisani.Hivi mnafikiri bajeti ya trilion 11 tutaifinance vip wakati mapato yetu hayazidi 5.4 trillion.Halafu anatudanganya eti sa hivi utegemezi wetu ni 28% sidhani kama kuna mwenye akili atakayemwelewa anafanya nini ikulu.Sasa hilo la haki ya uchaguzi lazima lije.

Kwa kweli umenikuna saaana. Hili ndio tatizo kubwa la Watz wengi kufikirikwao ni kula na kunywa tuu. Hawataki kutumia akili kuchanganua kila neno Mkwere analotueleza ili wagundue ukweli upo vipi!

Asante sana:target:
 
Natambua iko siku ndoto zenu feki za matokeo kubadilika zitaisha halafu sijui mtaanza kujadilinini.
na kwa nini member wengi mnamtambua mtu kwa ukabila, ninyi si mnapinga ukabila na udini, then why MKWERE?????????[/QUOTE]

Falsafa ya kutaja kabila la mtu ni utamaduni wetu watanzania kwa maana ya muingiliano na tamaduni za makabila yetu mengi kwamba kuna asili ya kutaniana. Hivyo unatakiwa usiwe na mawazo mgando kwamba ni ukabila. Kwa Tanzania Ukabila kwa sasa huna nafasi kubwa kama udini unavyoshika kasi kwa sasa.
 
Wakawaambie:

Wahisani: Nyie siku ile mulijifanya kutoka nje ya ukumbi wakati Mkwere anahutubia bunge.........Why?

Chadema: Alichakachua kura za wananchi. Ni Rais batili.

Wahisani: Leteni ushahidi. Hatutaki viduku hapa.

Chadema: Huu hapa. (Wanaweka mezani. Assume ushahidi wenyewe ukawa full ukweli)

Itakuwaje???

Mkwere lazima awaite Chadema wayamalize kabla hatujafika huko.

Pole mkwere. Una kazi ku-deal na watu walioenda skuli.

Hii ni kweli kabisa kiongozi CHADEMA sio mambumbu kama kina makamba na chilihati.
 
Kesi ya Bush na Al Gore haifanani na case ya Dr. SLAA-CHADEMA versus KIKWETE-CCM/NEC. Lazima uelewe hilo.
Katiba ya USA ni tofauti kwa mbali sana na Katiba ya Tanzania. CHADEMA tunataka KATIBA MPYA ITAKAYOWEZESHA KUUNDWA KWA TUME HURU YA UCHAGUZI-NEC. Siyo mtu anachakachua(anaiba)KURA na kuingia madarakani kwa kubebwa na NEC halafu aliyeibiwa KURA anaambiwa hana HAKI YA KUHOJI MATOKEO. That is DICTATORSHIP!
Tunataka KATIBA MPYA BEFORE 2015.

Kweli kabisa Makoye, after all ile kesi ya matokeo ilihukumiwa na majaji kenye court.
Lakini kinacho uma zaidi ni eti hata wakifanya wizi wa kura tunyamaze tusiulize kama mambumbu. Hivi hii ni katiba gani? Tunahitaji katiba mpya yenye kujali maadili ya kiutu. Tanzania yetu iwe nchi yenye haki na usawa wa binadamu.Haiwezekani tuendelee kuwa na katiba mbovu na kandamizi ya dhuluma na kifisadi, inayoruhusu wizi wa NEC kwa kura zetu.

Contemplation often makes life miserable. We should act more, think less, and stop watching our selves live.Nicolas de Chamfort.
 
Dr slaa ni member wa jf na amepata kilio chetu tunataka afikishe malalamiko yetu kwa wahisani bila kuchelewa with attachment matokeo feki ya nec na matokeo halisi from polling station, apewe obama direct, apewe david cameroon, apewe brazilian president, apewe prime minister canada, europe na wengineo tunataka hilo haraka ccm wabishi
 
Back
Top Bottom