Super Internet speed 2MBps/ 10Mbps baada ya kucombine mitandao 3

Super Internet speed 2MBps/ 10Mbps baada ya kucombine mitandao 3

Hii trick kwangu imezingua, kila nikiweka hii connectify program, my pc run to problems na ina shut down/restart immediately nikirun connectify.

Mkombozi kwasasa ni tigo megaboksi package, gharama kidogo speed ya kutisha. Wasiwasi ni kwamba jee hii kasi ya rocket itadumu for how long?
2013-01-01_072015.jpg
 
Shukrani bro nimeshafanikiwa kuweka mambo sawa, umetisha sana!
 
Ok Iskip iyo step ya kuedit hosts file kwa sasa haina madhara fuata step izo za mwanzo tu na itakubali

Shukrani hatua nyingine zote nimemaliza ngoja nikonect modem nyingine ya pili tuone.
 
  1. Kwa haraka tu, ni idea nzuri sana hiyo kwa mtu mwenye shida ya kushusha kitu kwa haraka toka mtandaoni. Ila suala gumu kwa hapa kwetu sio latency na downlink ya mtandao bali pesa inayohitajika kuweka download content kubwa na limits kwenye usage (as in volume).
  2. Mpaka sasa kuna tariff moja tu ninayoijua ya Voda ndio unlimited na wanakupa initial full throttle speed kisha huja kushuka kadiri matumizi yako yakuavyo. Sasa sijui hiyo 10MBps kama italeta any downlink improvement wakati washakulimit kwa 64Kbps kwa hiyo unlimited tariff after the first 2 Gb's of download + upload combined.
  3. My good friend, sijasoma kiundani policy za huu mtandao kuhusu 'pirated content' ila ningependa kukushauri kuwa makini kidogo na kutawanya bidhaa zenye hatimiliki. Mambo hubadilika bwana. BTW - Voda ikiwa haijashushwa spidi bado huwa nagonga kitu hiki hapa.. IMG_2620.PNG
 
Hii trick kwangu imezingua, kila nikiweka hii connectify program, my pc run to problems na ina shut down/restart immediately nikirun connectify.

Mkombozi kwasasa ni tigo megaboksi package, gharama kidogo speed ya kutisha. Wasiwasi ni kwamba jee hii kasi ya rocket itadumu for how long?
View attachment 77790

mkuu usipagawishwe na download speed ya kwene dashboard kwa sababu mm huu mda na reply yangu inapiga 3.9MBPS lkn download speed kene IDM ni 200-300kbps wakati sometimes kene dashboard iko 300-390 kene IDM ni 400-500kbps

ndo maana e2themiza kaweka picha ya IDM ambayo ni approx 2mps tofauti na ile ambayo inaonekana kene dispatch 8-20MBPS
 
Last edited by a moderator:
mkuu usipagawishwe na download speed ya kwene dashboard kwa sababu mm huu mda na reply yangu inapiga 3.9MBPS lkn download speed kene IDM ni 200-300kbps wakati sometimes kene dashboard iko 300-390 kene IDM ni 400-500kbps

ndo maana e2themiza kaweka picha ya IDM ambayo ni approx 2mps tofauti na ile ambayo inaonekana kene dispatch 8-20MBPS
Mkuu hii speed niliyoweka haipimwi tu kwenye dashboard. Kama wewe ni mtumiaji mzuri wa internet utagundua tu speed ya net unayotumia, wala uhitaji IDM kugundua. Kwa speed hii niliyoisema ninaweza kuangalia online tv in HD like these:
ANIMAL PLANET.jpg EuroSpot.jpg
Kwahiyo mkuu kama tv kama hizo tena in HD, unaangalia live bila kukatakata,kweli unahitaji IDM kukubali kwamba speed yako ya net iko juu? Hapa si uwanja wa maonyesho bali tunapeana taarifa tu.
 
Shukrani mkuu ngoja niijaribu takupa jibu.
 
Mkuu hii speed niliyoweka haipimwi tu kwenye dashboard. Kama wewe ni mtumiaji mzuri wa internet utagundua tu speed ya net unayotumia, wala uhitaji IDM kugundua. Kwa speed hii niliyoisema ninaweza kuangalia online tv in HD like these:

Kwahiyo mkuu kama tv kama hizo tena in HD, unaangalia live bila kukatakata,kweli unahitaji IDM kukubali kwamba speed yako ya net iko juu? Hapa si uwanja wa maonyesho bali tunapeana taarifa tu.

yeah . tigo nje ya dar inatisha. hapa DAR speed ni kichefuchefu
 
dah nyie wa dar ndo mtafaidi wengine maeneo yetu ukiunganisha hizo 3 ndo labda upate 400KBps.

Ngoja na mi ntajaribu.

Then mkuu kuna kitu hapa lets say usb port yangu ni moja tu. Then nkanunua multi usb kile kifaa kinachotoa usb port nyingi toka usb port 1 itadetect hio software?
we jamaa una utani ni pc yangu
ngoja nisome komenti buenda nkakutana na majawabu
 
Back
Top Bottom