STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
SAFI SANA MAKONDA
Mimi nampongeza sana Makonda,
Nyinyi wenye vyeti mnatakiwa mumfuate ili awaelekeze formula za kuhustle,
Yaani jamaa ametumia akili nyingi sana kufika pale alipo,
sio mijitu imebeba elimu kibao alafu imeshindwa kuplann njia za kutoka kimaisha lakini mtu ambae ni felia Ametusua mbele ya macho yao, HAMUONI AIBU??
kanuni ipo wazi
Dhaifu watakufa, strong wata-survive,
Haijalishi hao strong wata-survive kwa kula nyama za viumbe dhaifu, au watakula nyasi,
LENGO KUU NI KU-SURVIVE,
NA NDILO LILILOTIMIZWA,
OVA
Mimi nampongeza sana Makonda,
Nyinyi wenye vyeti mnatakiwa mumfuate ili awaelekeze formula za kuhustle,
Yaani jamaa ametumia akili nyingi sana kufika pale alipo,
sio mijitu imebeba elimu kibao alafu imeshindwa kuplann njia za kutoka kimaisha lakini mtu ambae ni felia Ametusua mbele ya macho yao, HAMUONI AIBU??
kanuni ipo wazi
Dhaifu watakufa, strong wata-survive,
Haijalishi hao strong wata-survive kwa kula nyama za viumbe dhaifu, au watakula nyasi,
LENGO KUU NI KU-SURVIVE,
NA NDILO LILILOTIMIZWA,
OVA

