mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,093
- 4,912
Umeaga walozi wenzio mkuuu c kwa uandishi huuu
😂😂😂 anapima nyota yake taratibuImeondoka na wengi hiyo seat


Kichekesho zaidi Dereva na hao mafundi wake wote NgagariPoa.... Full mikwalaTilipu shamba, tilipu kwa fundi
Fundi mchundo
Fundi breki
Fundi umeme
Fundi injini
Fundi bodi(kuchomea)
Na kila fundi ana saidia wake... Maarufu kama nyoka
Gari limechakazwa na mafundi hawa... Limegeuzwa kichwa cha mwendawazimu... Kila likionekana karakana kila fundi na supana yake mkononi hulivamia, wanasema kupiga mande
Si fundi mchundo wala fundi kuchomea, si saidia fundi ama mwanafunzi wa ufundi... Wote hulizingira kila mtu akitaka kutengeneza chake... Hata vile vizima hulazimishwa uharibifu ili vitengenezwe.. Watu waingize siku.... Shida iliyopo ni mpangilio wa kazi
Nani atengeneze nini
Nani amsaidie nani
Nani afungue nini
Nani afunge nini...
Mwisho wa siku boriti moja inafunguliwa na huyu kisha inafungwa na yule halafu anakuja mwingine anaifungua tena....
Kukichwa mafundi wanatawanyika hoi bila kutengeneza gari kikamilifu....
Kukipambazuka dereva analipeleka gari shamba likaingize siku.. Likifanikiwa kurudi litafikia karakana... Mapato yote ya siku yataishia kwa mafundi
Dereva kakosa mpangilio
Mafundi wote wamekosa mpangilio
Saidia fundi wote mulemule
Hata wanafunzi pia....
Kilichobaki ni kila mtu na supana lake... Na ujuzi wake, na ufundi wake na ujuaji wake....
Hatuendi mbele tunarudi nyuma... Dereva anataka kuwa saidia fundi... Mwanafunzi anataka kuwa fundi mkuu.... Fundi mchundo anasema anajua makanika ya makinikia...
niliwahi kumuona mtu akijaribu kuivuta semitrela kwa guta
Niliwahi kumuona mtu akijaribu kujitishwa jabali
Ngoja nikawahi sinema ya kesho.. Gari halijarudi shamba na dereva hajasema lolote mpaka sasa...... Labda anaendesha... Halafu njia ina makolongo.. Leo ilikuwa ni kwenda kubeba choroko za koloshoView attachment 926148
Kichekesho zaidi Dereva na hao mafundi wake wote NgagariPoa.... Full mikwala
Yaani gari likiwa gereji utacheka ufe....mara Konda analalama..kwa dereva "oh tulipakia magasho ndio mana gari halina spidi"
Mara, mzigo wa Korosho hauna faida ushushwe.. Mara Tumekusanya nauli ya kutosha... Mara Tajiri mwenye mzigo sijiu kapotea, yaaani full Komedi.
Wacha tufungulie tu Koki Koki Koki la Maji taka mana mafundi wamechafuka, Dereva kachafuka, hakuna tena wa kuwachafuaa....
Nataja ktk list ya kwanza, wa kwanza kuchafuka ni Konda, tena kamchfua mpaka Dereva na kama Konda akibisha basi niko radhi kutembea kwa miguu na nisipande gari....













eti ni ngangaripoa.... Ila konda bwana... Ngoja niishie hapaTilipu shamba, tilipu kwa fundi
Fundi mchundo
Fundi breki
Fundi umeme
Fundi injini
Fundi bodi(kuchomea)
Na kila fundi ana saidia wake... Maarufu kama nyoka
Gari limechakazwa na mafundi hawa... Limegeuzwa kichwa cha mwendawazimu... Kila likionekana karakana kila fundi na supana yake mkononi hulivamia, wanasema kupiga mande
Si fundi mchundo wala fundi kuchomea, si saidia fundi ama mwanafunzi wa ufundi... Wote hulizingira kila mtu akitaka kutengeneza chake... Hata vile vizima hulazimishwa uharibifu ili vitengenezwe.. Watu waingize siku.... Shida iliyopo ni mpangilio wa kazi
Nani atengeneze nini
Nani amsaidie nani
Nani afungue nini
Nani afunge nini...
Mwisho wa siku boriti moja inafunguliwa na huyu kisha inafungwa na yule halafu anakuja mwingine anaifungua tena....
Kukichwa mafundi wanatawanyika hoi bila kutengeneza gari kikamilifu....
Kukipambazuka dereva analipeleka gari shamba likaingize siku.. Likifanikiwa kurudi litafikia karakana... Mapato yote ya siku yataishia kwa mafundi
Dereva kakosa mpangilio
Mafundi wote wamekosa mpangilio
Saidia fundi wote mulemule
Hata wanafunzi pia....
Kilichobaki ni kila mtu na supana lake... Na ujuzi wake, na ufundi wake na ujuaji wake....
Hatuendi mbele tunarudi nyuma... Dereva anataka kuwa saidia fundi... Mwanafunzi anataka kuwa fundi mkuu.... Fundi mchundo anasema anajua makanika ya makinikia...
niliwahi kumuona mtu akijaribu kuivuta semitrela kwa guta
Niliwahi kumuona mtu akijaribu kujitishwa jabali
Ngoja nikawahi sinema ya kesho.. Gari halijarudi shamba na dereva hajasema lolote mpaka sasa...... Labda anaendesha... Halafu njia ina makolongo.. Leo ilikuwa ni kwenda kubeba choroko za koloshoView attachment 926148



Hahahaha sasa hili gari kama lina mafundi wengi hivi mwisho wa siku si litaja mfia dereva mazima.
Amuulize kida.... Ta amerudishwa kutoka Cana.... DaImeondoka na wengi hiyo seat
Ban ndiyo sawasawa!! Ili usiizoee hiyo siti Babeki!Huwa napigwa BAN nikiandika hivyo kama wewe