Supana mkononi halafu kila mtu fundi..

Supana mkononi halafu kila mtu fundi..

Ingekuwa dunia inazungushwa na binadamu ningemsimamisha nishuke, hili gari halifai hata kubebea mifugo.
 
Leo nimemwambia fungua compressor ili tuone upepo unapotelea kwenye gasket au lipo kwenye air drier... Yeye kaenda kufungua water pump na alternator halafu anakuja kuniambia tatizo kwenye water separator ndio maana gari inachanganya oil na maji... DAAAH.
juzi kafunga balbu ya indiketa kwenye headlight... Headlights zikawa kama kimulimuli cha faya
 
Bashite engineer mkuu anaagiza vibarua halafu ana vyeti feki
.
IMG-20181108-WA0030.jpeg
 
juzi kafunga balbu ya indiketa kwenye headlight... Headlights zikawa kama kimulimuli cha faya
Dah ndio maana kila siku mabasi yanaungua.... Sasa ona kituko cha jana, namwambia huu mguu unavuja tubadilishe oil seal anasema tununue locknut za mang'ura tufunge.
 
Dah ndio maana kila siku mabasi yanaungua.... Sasa ona kituko cha jana, namwambia huu mguu unavuja tubadilishe oil seal anasema tununue locknut za mang'ura tufunge.
 
Back
Top Bottom