wanatumia madawa ya kulevya yaitwayo meth. ni makali kupita yote yanayoteja watu.. huuwa utashi na mtu unaweza hata kutembea na chupi tuu barabarani. mwanamuziki maarufu wa nigeria the late Fella anikulapo kuti alikuwa natumia haya madawa wakati wa uzeeni wake na hivyo kujikuta alikuwa anatembea na chupi tuu masaa 24!