Jamani wana jf nipo kwenye sup huku udom jamani sup inakera
<br />hii ni sup chakula au supplementary examination..
<br />mkuu hongera sana maana kuna vyuo vikubwa nje ya nchi huwa hamna sup ukifeli kozi moja unarudia mwaka kwahiyo komaa sana na sio muda wote unakua JF mpaka unaachia sup
<br />bwana IBWE unataka kusema mteja ni mfalme, ingekua siku ya mahafali joho linakua na viraka sawa na idadi za sup ulizopata ingekua noma sana
Kumbe mko wengi, poleni sana!Hizo sup za udom ni mkomoeni. Mi mwenyewe nipo kwenye hiyo ishu. 2tatoka tu!