Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,502
mie mtu akisema anachezewa, kama vile kuna sehemu za mwili wake zinabonyezwa kama kitenesi na kudundishwa dundishwa kwa kutumia vidole.
Ha ha ha, mimi ni pale ninapocheza na gear (kama vile naibadilisha toka 2 kwenda 3). LOL