Sup ya chuo ilinikosesha mke!

Sup ya chuo ilinikosesha mke!

usungilo

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2012
Posts
522
Reaction score
332
ni miaka kama miwili imepita. Nakumbuka nilianza naye uhusiano nikiwa mwaka wa nne na yeye mwaka wa mwisho chuoni kwao. Kabla ya hapo nilikuwa karibu naye kwa miaka kama miwili nyuma. Akamaliza chuo akaniacha nikiwa mwaka wa tano ili niweze kuhitimu masomo yangu. Kwa muda ambao alikuwa anasubiri ajira alikaa nyumbani kwao kwani hakupata sehemu ya kujishikiza. January ajira zikatoka kapangiwa kigoma mi niko dar. Nilimwambia hamna noma kwani mawasiliano na usafiri si upo, we nenda. Akaenda kuripoti na kuanza kazi(ni mwalimu). Tuliendelea na mawasiliano huku mi nikiendelea kupiga shule ili nimalize nikafanye internship nioe kabisa. Niliwahi kumwambia nyuma kwamba kuoa kwangu ni mpaka niwe na uhakika wa kwamba tutakula na kulala kwa amani. Nikiwa naendelea na shule bahati mbaya nikaangukia mikononi mwa walaji wa vichwa(muhas wanajua hili) nikaliwa kozi moja. Loh! Sikuwahi kupata sup hivyo nilichanganyikiwa lakini nilijipa moyo kwani sikuwa wa kwanza. Na kurudia ni until when next offered meani ntarudia kozi na madogo. Nikajipanga nikamwambia mwenzangu akaniuliza, ko unagraduate lini? Nikamwambia, mwakani.. Akanambia, ko kuna mwaka mmoja mbele? Nikajua hapa mwenzangu anapiga mahesabu ya kuolewa, nikamjibu ndiyo. Kozi ilikuwa kama wiki 12, semister ilivyoanza nami nikaanza, loh.! Matatizo yakaanza, mawasiliano hovyo, akiongea mkato mkato yaani ikawa ni balaa. Alipata likizo akagoma kuja dar bila sababu. Katika kufuatilia kuna jamaa yangu wa karibu akanambia kuna jamaa mwingine anabambia. Nikaona hamna shida nikapiga chini na kuendelea na maisha yangu na nashukuru Mungu ile kozi niliipunch. Mpaka leo wanawake nawaona kama watu wanaotaka mafanikio tu bila kujua kwamba kuna visiki humo njiani.
 
Pole sana ila usiwahukumu wanawake wote, binafc mwanaume alokuwa anasap ama namzid class walikuwa hawanipi mzuka, ila binti aliangalia future yake ukiongeza na stress za kwenye jamii sishangai anythng can happn anytm,jipange tu tafuta mwingine move on bana!
ni miaka kama miwili imepita. Nakumbuka nilianza naye uhusiano nikiwa mwaka wa nne na yeye mwaka wa mwisho chuoni kwao. Kabla ya hapo nilikuwa karibu naye kwa miaka kama miwili nyuma. Akamaliza chuo akaniacha nikiwa mwaka wa tano ili niweze kuhitimu masomo yangu. Kwa muda ambao alikuwa anasubiri ajira alikaa nyumbani kwao kwani hakupata sehemu ya kujishikiza. January ajira zikatoka kapangiwa kigoma mi niko dar. Nilimwambia hamna noma kwani mawasiliano na usafiri si upo, we nenda. Akaenda kuripoti na kuanza kazi(ni mwalimu). Tuliendelea na mawasiliano huku mi nikiendelea kupiga shule ili nimalize nikafanye internship nioe kabisa. Niliwahi kumwambia nyuma kwamba kuoa kwangu ni mpaka niwe na uhakika wa kwamba tutakula na kulala kwa amani. Nikiwa naendelea na shule bahati mbaya nikaangukia mikononi mwa walaji wa vichwa(muhas wanajua hili) nikaliwa kozi moja. Loh! Sikuwahi kupata sup hivyo nilichanganyikiwa lakini nilijipa moyo kwani sikuwa wa kwanza. Na kurudia ni until when next offered meani ntarudia kozi na madogo. Nikajipanga nikamwambia mwenzangu akaniuliza, ko unagraduate lini? Nikamwambia, mwakani.. Akanambia, ko kuna mwaka mmoja mbele? Nikajua hapa mwenzangu anapiga mahesabu ya kuolewa, nikamjibu ndiyo. Kozi ilikuwa kama wiki 12, semister ilivyoanza nami nikaanza, loh.! Matatizo yakaanza, mawasiliano hovyo, akiongea mkato mkato yaani ikawa ni balaa. Alipata likizo akagoma kuja dar bila sababu. Katika kufuatilia kuna jamaa yangu wa karibu akanambia kuna jamaa mwingine anabambia. Nikaona hamna shida nikapiga chini na kuendelea na maisha yangu na nashukuru Mungu ile kozi niliipunch. Mpaka leo wanawake nawaona kama watu wanaotaka mafanikio tu bila kujua kwamba kuna visiki humo njiani.
 
Hakuwa wako huyo. Hata ungeoa angekutema tu! Kaka ukiona kakutema usilie, just run maana uking'ang'ania lazima uje kuitoa roho yako!
 
Pole kwa KUCHEZEWA na kuPOTEZEWA muda; haikuwa riziki utaijua siri ya Mungu pale utakapo pata mwanamke mzuri na utamahukuru huyo aliyekuchezea na kukuacha; au mlichezeana???
 
You can not possess what is really not yours!
::
Forgive Forget Look Ahead
 
kuna wanawake robo tatu ya idadi ya watu hapa tz halafu mwanamke analeta nyodo bora umempiga chini totozi kibao kuanzia za one night stand hadi wife material wewe tu ukiamua kufanya hayo mambo.. hayo ndo mambo ya wadada wa siku hizi..
 
Pole Mkuu, Mungu ana njia nyingi za kukuepusha na yasio yako.

Nikupe mfano rahisi, Kama kuna mtu ambaye aliwahi kufanikiwa kimaisha then kwa wizi au hila za watu akafilisika, ipo siku atapanda tena even kupita level yake ya mwanzo (kwangu mim nina mifano mingi),

Na mwingine ambaye amepanda kimaisha then akaanza kuishi maisha ya dharau, anasa za kila aina, huyo huwa ikitokea akafilisika, hata apewe mtaji wa namna gani, lazima ataula tu na hatapanda tena, hata ukoo umuweke kitimoto hamna kitu. Labda abadilike kweli na amrudie Muumba wake anaweza kupanda tena.

Nini maana yangu, Chochote utakachofanya, fanya kwa moyo wako wote, kisipo kuwa na matokeo mazuri au ukikikosa, jua hicho hakikua kwa ajili yako. Ila kama kilikuwa kwa ajili yako ikatokea vinginevyo, kitarudi kama sio kile, kitakuwa kizuri zaidi yake. ''GOD IS SO MYSTERIOUS AND SO HIS WAYS''
 
na wanamme wanachezewa?

Ukisema hivyo ina-sound kama wana balls.

Pole kwa KUCHEZEWA na kuPOTEZEWA muda; haikuwa riziki utaijua siri ya Mungu pale utakapo pata mwanamke mzuri na utamahukuru huyo aliyekuchezea na kukuacha; au mlichezeana???
 
Aaaah mwalimu!!! Angekuwa msanifu majengo je?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ninachoweza kusema ni kwamba mlipishana malengo...
 
Pole sana ila usiwahukumu wanawake wote, binafc mwanaume alokuwa anasap ama namzid class walikuwa hawanipi mzuka, ila binti aliangalia future yake ukiongeza na stress za kwenye jamii sishangai anythng can happn anytm,jipange tu tafuta mwingine move on bana!

weee! Medicine na baed havilingani hata siku moja. By the way mtu aliyesoma kozi za science hawezikushangaa sup. Kuna muda tunachukuliaga normal life. Yes future isikufanye kuwa mtu wa kubahatisha.
 
mie mtu akisema anachezewa, kama vile kuna sehemu za mwili wake zinabonyezwa kama kitenesi na kudundishwa dundishwa kwa kutumia vidole.

Ha ha ha!
Kwani kuchezewa maana yake nini? LOL
 
Pole kwa KUCHEZEWA na kuPOTEZEWA muda; haikuwa riziki utaijua siri ya Mungu pale utakapo pata mwanamke mzuri na utamahukuru huyo aliyekuchezea na kukuacha; au mlichezeana???

hahaaa, asante kwa ushauri. Tulichezeana ila mwenzangu akanikimbia nikiwa kwenye hali ngumu. Aliwa kunipigia na kuniuliza naendeleaje nikamwambia nimeshaoa.
 
Asante Kongosho leo umetema pwenti
mi ndo mana vichwa vya klas moja nilikuwa sili, nilikuwa naona awkward nina banda afu msela ana sup.

Ama nina div ya mana afu msela anachechemea.

Napenda anizidi kwa vingi, hasa kichwani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom