Se Busca
Member
- Dec 11, 2023
- 88
- 306
mambo vipi leo nimekutana na sunday demonte am so excited kwa kweli nimekutana mtu niliekuwa namsoma kwenye magazeti na kupiganae story
Nimcheshi mno ana story nyingi kuhusu hawa wanawake mastar wa bongo itoshekusema aliwala sana hawa mabongo movie kipindi hicho
kilichonishangaza zaid umbile lake ni dogo sana kama mtoto wa elfu mbili kumbe ni mwenye miaka 41 sasa hakika nimefurahi sana, alikuwa na pesa nyingi sana, amefanya kila aina ya starehe aloo
Alijua kula maisha kwa kipindi chake kuna yoyote anajua kisa cha Sunday Demonte Nguli huyu wa Madawa ya Kukevya Nchini Dubai
Nimcheshi mno ana story nyingi kuhusu hawa wanawake mastar wa bongo itoshekusema aliwala sana hawa mabongo movie kipindi hicho
kilichonishangaza zaid umbile lake ni dogo sana kama mtoto wa elfu mbili kumbe ni mwenye miaka 41 sasa hakika nimefurahi sana, alikuwa na pesa nyingi sana, amefanya kila aina ya starehe aloo
Alijua kula maisha kwa kipindi chake kuna yoyote anajua kisa cha Sunday Demonte Nguli huyu wa Madawa ya Kukevya Nchini Dubai