Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,859
- 43,768
Na mi ndo nashida hiiDah uzi wa zamani sana,huyo alikua paka mwitu.
Niliwamaliza mpaka wa paka jirani na mbwa wala mizoga.
Kuna mipaka sijui inatokea wapi mikubwa,I akija usiku inaingia bandani ,imekula kuku wadogo aiseee, Nina hasira.
Ulitumia sumu ipi?