Sumu ya panya inaweza kumuua paka ?

Sumu ya panya inaweza kumuua paka ?

Nimetoka kuua Paka kwa kutega samaki mwenye sumu ya panya baada ya kuona ananimalizia vifaranga vyangu.

Paka anakufa kwa sumu ya panya, labda iwe sumu unayosema hafi labda ni ya "Dar" haina makali.
umetumia sumu ya aina gani mkuu tupe ata picha ya kifungashio kama hutojari
 
Kaka umenitafakarisha sana na kunichekesha.

Long time nikiwa kariakoo na Mjomba wangu kwenye matembezi, kuna Jamaa alikuwa anauza dawa za kuua panya.

Nakumbuka ile Dawa ilikuwa imeandikwa RED Cat na imechorwa kabisa paka mwekundu na panya.

Uncle akamuuliza " hii dawa inaua panya vizuri?" Jamaa akadakia " kabisa, inaua panya na paka si unaona imechorwa paka na panya"

Tulicheka sana. Mjomba akwambia hiyo sumu haimfai. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kama binadamu anaweza kufa kwa sumu hiyo ya panya sembuse paka ndugu yangu
 
Paka ni wasumbufu sana mjini . Halafu ni kama wana akili inayoendana sana na ya binadamu kwa kiasi fulani hivi. Wajanja janja sana.

Je, ukimtega paka ukamwekea sumu ya panya anakufa ? au ananusa na kuescape ?

Nataka nimpikie rost safi nijazamo humo sumu ya panya ili paka ale afe kabisa.

Mwenye ujuzi namna ya kuua paka tafadhari jamani.
Inamuua kwa kasi sana ukiipata sumu ya panya original! tafuta kichwa cha samaki sunda over-dose ya sumu ya panya! iweke sehemu salama, hata nusu saa haifiki paka atakuja kujiua...kichwa cha samaki na paka kama inzi na usaha [emoji38] [emoji38] kihivyo nimesha yaua mapaka mengi!
 
Mimi nimeua huyu kwa sumu ya panya baada ya kunimalizia vifaranga wa kuku wanguView attachment 877663
IMG_20180904_061800.jpg
 
Sumu za panya zipo za aina nyingi. Kifupi sumu ya panya inaua paka. Kuna sumu ya panya ipo vipunje kama hamira lakini ni nyeusi hiyo mnyama akila hafiki mbali. Paka wengi washakufa kwa hiyo sumu.
Inaitwaje mkuu?
 
Dah uzi wa zamani sana,huyo alikua paka mwitu.
Niliwamaliza mpaka wa paka jirani na mbwa wala mizoga.
Na mi ndo nashida hii
Kuna mipaka sijui inatokea wapi mikubwa,I akija usiku inaingia bandani ,imekula kuku wadogo aiseee, Nina hasira.
Ulitumia sumu ipi?
 
Back
Top Bottom