Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Not ........ until proven guilty. So ukishaprove then you have every right but remember akikiri na kuahidi kutorudia tena with time trust inatakiwa kurudi sio alikosa miaka sita ilopita akakiri kubadilika but wewe bado tu umelikumbatia kosa lile na references unafanya kila mnapohitilafiana!
On serious note: Hivi kama mwenzi wako alishawahi kucheat unaweza kumtrust tena kweli? .........mh nje ya mada
Sumu ya ndoa kutokubali makosa/udhaifu yako
hivi nikiambiwa I AM SO SORRY LOVE!inatosha kabisa kusahau kwamba kuna njemba umeshaivulia sana chupi huku una pete ya ndoa na mimi kanisani?