Hi Great Techs,
Nimenunua simu Sumsung Galaxy S III 19300 toleo la June mwaka huu. Nimeiangalia na kuchunguza features zake na functionality inaonekana ni genuine ila kuna kitu kimoja ambacho sikioni, ambacho ni inbuilt/internal memory. Kwani internal memory yake ni ndogo mno chini ya mb 1 wakati specs zinasema: Internal memory 16gb (extendeble to 64gb) + microSD card slot ambayo inasupport up to 64gb of extra memory. Simu imetumwa kutoka nje, kabla sijaanza kuwauliza wahusika, nimeona niwaulize nyie kwanza.
Naombeni msaada kwa yeyote ambaye anaweza kuwa na idea na hili tatizo. Je inawezekana kuwa baadhi ya features ni locked?
Natanguliza shukrani.
classics
Nimenunua simu Sumsung Galaxy S III 19300 toleo la June mwaka huu. Nimeiangalia na kuchunguza features zake na functionality inaonekana ni genuine ila kuna kitu kimoja ambacho sikioni, ambacho ni inbuilt/internal memory. Kwani internal memory yake ni ndogo mno chini ya mb 1 wakati specs zinasema: Internal memory 16gb (extendeble to 64gb) + microSD card slot ambayo inasupport up to 64gb of extra memory. Simu imetumwa kutoka nje, kabla sijaanza kuwauliza wahusika, nimeona niwaulize nyie kwanza.
Naombeni msaada kwa yeyote ambaye anaweza kuwa na idea na hili tatizo. Je inawezekana kuwa baadhi ya features ni locked?
Natanguliza shukrani.
classics