Sumbody show me around..!!

Sumbody show me around..!!

Joined
Oct 3, 2011
Posts
66
Reaction score
10
. . .wazee shikamooni!! wakubwa kubwa wenzangu, mamboo?! wadogo hamjambo? . . .lool, me mgeni atiiii, natoa macho tu apa! Nikaribisheni
 
Marahaba mjukuu wangu!
Karibu sana, nakusihi vigezo na mashariti kuzingatia.
 
Marahaba, karibu JF ila tu usiwaige watetezi wa magamba kwa kuwa na ID nane nane,
 
Karibu sana, hapa ni Utamblisho, nakuomba usiingii jukwaa la siasa leo, limepamba moto. Ukitaka marafiki jaribu MMU, wanakua karibu karibu sana na tayari kusaidiana. Mi utanipata Jokes utani. Kama umepotea kabisa soma ile post ya invisible yakufahamisha namna ya kutumia Jf (how to use JF effectively)
 
Karibu sana, hapa ni Utamblisho, nakuomba usiingii jukwaa la siasa leo, limepamba moto. Ukitaka marafiki jaribu MMU, wanakua karibu karibu sana na tayari kusaidiana. Mi utanipata Jokes utani. Kama umepotea kabisa soma ile post ya invisible yakufahamisha namna ya kutumia Jf (how to use JF effectively)

owww!! how generous RussianR. . .senchuu jamaan, hahahah sawa nitapita MMU sn, ntakutafuta pia huko 'utani' nicheke mie! Plus siasa ntachungulia tu leo. . .lol
 
Karibu sana jamvini, mimi napatikana hapahapa...
 
Mbona unaingia kwa nidhamu vp? Wewe CUF,karibu Cdm.
 
Karibu Jf, mambo ni poa, jisikie huru ila vigezo na masharti zingatia.
 
Back
Top Bottom