Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,469
- 11,252
- Thread starter
-
- #61
Ngoja nimuulize dogoKumbishia siwezi maana huwa naenda Rukwa mara nyingi na kuna tukio la watu wa wizara ya Elimu gari yao kuisha upepo tairi zote kwa pamoja mchana kweupe wakiwa Ntuchi sekondari wilaya ya Nkasi. Lakini hebu atusaidie tukio hili limetokea shule gani?
KabisaNdo maana hawana tija yeyeto ya kubuni maendeleo sababu ya kutumia akili ya bandia ya waganga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hiii chamtoto! Kuna yule mgombea ubunge aliyeaswa kutokugobea akakaidi then siku ya mwisho anarudisha form kwa mkurugenzi alitafuta ofisi hakuiona ni huko huko ufipani!
mmmHuyo anatafuta namna ya kuhamishwa tu,,hizo ni MBWINU wanatumiaga baadhi ya watumishi hasa walimu wakichoka kukaa vijijini wakati wapo chuo ndoto zao zilikuwa kuliga kazi town,,,Mwaka 2015 Masasi kuna mwalimu nae alileta mchezo kama huo akakutwa kalala chini ya daraja,,Mkurugenzi akastukia kuwa ni janja janja ila yule jamaa alikaza kabisa hataki kubaki kule bora aache kazi,,na wazazi wa kile kijiji nao waligoma kabisa yule jamaa abaki pale wakisema amewachafulia sana hali na ustaarabu wao,toka pazaliwe hicho kijiji na toka shule ianze miaka hiyo ya ukoloni ikiitwa Middle school hapajawahi tokea tukio kama hilo mkurugenzi akaamua kumuhamishia akampeleka shule ipo maeneo ya kati ya Masasi mjini na ndanda ila akiunda tume yake ya uchunguzi,,mwisho wa picha ikaja gundulika jamaa alifake sababu hakuwa ameyapenda yale mazingira basi akapigwa onyo kalii na kulipwa nusu mshahara kwa miezi mitatu ila ikawa ndo ashahama zake
HowShida ya walimu vijana ujuwajiii saana
After three days, yule Mwalimu aliamka hasubui akajikuta amelala nje ya uwanja uku akiwa na boxer tu. Mwalimu huyu amepanic Sana anataka kuhama.
Kila kitu kina miiko yake kama ambavyo wewe huwezi kula nyoka ila mchina anakula halafu fresh tuLakini sasa mbona hatumlogi mzungu ili sie waafrika tutawale dunia au sie hatutaki kuwa the big boys wenyewe?
So miiko yake ni kwamba mzungu hapigwi ndumba🤣🤣🤣🤣🤣Kila kitu kina miiko yake kama ambavyo wewe huwezi kula nyoka ila mchina anakula halafu fresh tu
Hata yeye hawezi kukupigia ndumba pia ila atakutapeli kwa mikataba ya hovyoSo miiko yake ni kwamba mzungu hapigwi ndumba🤣🤣🤣🤣🤣
Aiseee so sasa hii ndumba hainifai katika mkakati wanguHata yeye hawezi kukupigia ndumba pia ila atakutapeli kwa mikataba ya hovyo