Sumaye: Upinzani kugumu kuliko CCM

Sumaye: Upinzani kugumu kuliko CCM

Sumaye: Kuwa mpinzani yataka moyo

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema mtu yeyote aliyepo upinzani anatakiwa kuwa mvumilivu kwa sababu katika upande huo hakuna ‘mteremko’.

Kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo Chadema amesema kuwa katika chama cha upinzani ni kazi kubwa inayohitaji moyo wa uvumilivu kuliko mtu aliyepo CCM.


Kumbe lilizoea vya kuchinja
angezoea vya kuchinja angebaki CCM kama wengine ambao wanatamani, lkn njaa inasumbua inabd wabaki tu waambulie walau vibudu...
 
Anagombea mwenyekiti wa mtaa wa pwani na dsm. Hahaha. Aliyekuwa Waziri Mkuu huyo. Hivi hii inakuwaje. Ni tamaa ya madaraka na ulaji au
Jitekenye tu mkuu,ila unganisha ukoo wenu wote hamuwezi hata kumlipa hata mwezi mmoja
 
Ni kweli naona kama kuna visasi kwake! Mfalme amesema kuwa atawanyang'anya mashamba yote ambayo hayajaendelezwa hataangalia walikuwa na nyadhifa gani hapo zamani! Naona kabisa ana target Mashamba yakiwemo ya Sumaye

Kama waliyapora kwa kutumia nafasi zao walipokuwa madarakani acha walipe sasa! Ila kama waliyapata kihalali na wanaporwa kiuonevu ntawaonea huruma!
 
Ktk watu wanatakiwa wakae kimya ni huyu unless atuombe radhi watanzania na akiri kwa ushenzi wakati akiwa madarakani ndiyo tutampokea upinzani. Haniingii moyoni kabisa. Ni sawa na leo hii Benjamin M., au ex IGP Mahita aje upinzani aisee itabidi wafanye sala ya TOBA na kukiri mbele ya watanzania juu ya madhila waliyotuletea.
 
Sumaye: Kuwa mpinzani yataka moyo

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema mtu yeyote aliyepo upinzani anatakiwa kuwa mvumilivu kwa sababu katika upande huo hakuna ‘mteremko’.

Kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo Chadema amesema kuwa katika chama cha upinzani ni kazi kubwa inayohitaji moyo wa uvumilivu kuliko mtu aliyepo CCM.


Kumbe lilizoea vya kuchinja
Kutoka kua waziri mkuu hadi mwenyekiti wa wilaya sio mchezo
 
Anawapiga changa la macho wananchi ili wamuonee huruma,bonaTLP, CHAUMA,ni wapinzani lakini ni mteremko tu.si ajiunge nao tu.
Kwa nini anasema haya maneno wakati huu?

Maelezo yake yanaogopesha hata wale walikuwa na fikra ya kujiunga kwenye vyama vya upinzani.

Mtu mwenye akili timamu na anafahamu vizuri siasa za Afrika hahitaji kuambiwa au kukumbushwa maswala ambayo anayafahamu.

Maelezo yake yana majuto ndani yake!
 
DSC_0047-FILEminimizer.jpg
😀 bhagoosha yeeh.
 
Fahari ya maisha ni amani na furaha, kuwa kwenye chama ukakosa mambo hayo ya msingi ktk maisha ni kukiri kukubali utumwa!
Maelezo yake yanashangaza hasa kutokana na wakati ambao ameamua kutasema.
 
Alichokisema Sumaye( kama kweli kasema yeye).....ni kweli kabisa....lakini haioneshi kwamba anajutia....bali anaweka wazi halisi halisi ya maisha ya kisiasa ya vyama vinavyoitwa vya kipinzani hapa nchini....ili wale waliochoshwa na utawala wa CCM wakija huku wasitegemee mteremko.....

Na nina hakika ni wengi waliochoshwa na CCM lakini wanalazimika kuendelea kubaki huko ili mambo yao yawaendeee...vizuri kama yeye alivyowahi kusema.....

Nilichokiona kwa mleta mada ni kuwa kaileta habari hii huku akiwa ana maoni yake tayari.....lakini alichoshindwa ni kushabihisha maoni yake na maaneno ya Sumaye.....hali inayopelekea aonekane watu wamshangae....
Kwa nini anasema haya maneno kwa sasa?

Ina maana yeye alitegemea mteremko ndio maana akajiunga CHADEMA?

Hadhani kama kuongea maneno hayo ni kujaribu kuwatisha wale ambao wanapenda kuingia upinzani?

Kuna kina Mzee Mtei, Ndesamburo, Bob Makani etc ambao walikuwa serikalini na kwenye biashara hawakuwahi kutoa maneno yanayoonyesha kama kujuta au kutoa onyo kwa watu wanaofikiria kujiunga Upinzani.

Tukubali tu kuwa maneno ya Mzee Sumaye yana chembechembe ya regrets and remorse.
 
Back
Top Bottom