Sumaye: Upinzani kugumu kuliko CCM

Sumaye: Upinzani kugumu kuliko CCM

Ataiota sana CCM,kutoka ligi kuu ya Vodacom,hadi kombe la Mbuzi uwanja wa Kinesi.
Karibu nyumbani (CCM) baba Sumaye. Huko CHADEMA wanahitajika wale wenye akili za akina Lema na Lisu.
 
Lowassa alitumia jazba kuondoka CCM akidanganyika kuwa atashinda Uchaguzi na kuwa Rais! Wapiiiii! Anajuta sana na ni aibu tu inamfanya asirudi CCM!
 
O~This is Zero
O~this is Ooh


Wapinzani.muhesabu maumivu.
Same PM aliyesababisha wanaCUF wakimbilie shimoni Mombasa 2001. Same person amefanikiwa kupenya ndani ya vyama upinzani.na kuviua,


Ng'ombe aliekatika rudi zizini
 
Kumbe una mawazo mgando pamoja na kuwa umekwenda Shule. Umeshindwa kumuelewa amesema nini Sumaye mpaka utoe tafsiri mbovu kiasi hicho?

We jamaa unashushua sana, yaani unasema jamaa kaenda shule halafu kumbe anamawazo mgando, Duu! What a heck is that?
 
Sumaye nae michosho tu. Eti tutawafundisha akina Mbatia, Mbowe namna ya kuongoza Sirikali kumbe hawa wapinzani wapo nondo haswaaa! Please the former Prime minister, this shows that the higher you go up the lower the temperature.
 
Hivi huyu bwana alishinda uenyekiti wa mtaa wa kibaha?
 
Sumaye: Kuwa mpinzani yataka moyo

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema mtu yeyote aliyepo upinzani anatakiwa kuwa mvumilivu kwa sababu katika upande huo hakuna ‘mteremko’.

Kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo Chadema amesema kuwa katika chama cha upinzani ni kazi kubwa inayohitaji moyo wa uvumilivu kuliko mtu aliyepo CCM.


Kumbe lilizoea vya kuchinja
 
Sumaye: Kuwa mpinzani yataka moyo

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema mtu yeyote aliyepo upinzani anatakiwa kuwa mvumilivu kwa sababu katika upande huo hakuna ‘mteremko’.

Kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo Chadema amesema kuwa katika chama cha upinzani ni kazi kubwa inayohitaji moyo wa uvumilivu kuliko mtu aliyepo CCM.


Kumbe lilizoea vya kuchinja
sumaye mzalendo
 
Ha haaa! Mashamba yake yako hatarini. Hivi karibuni utasikia yamegawiwa kwa Bhakaresaa!
 
Ha haaa! Mashamba yake yako hatarini. Hivi karibuni utasikia yamegawiwa kwa Bhakaresaa!
Ni kweli naona kama kuna visasi kwake! Mfalme amesema kuwa atawanyang'anya mashamba yote ambayo hayajaendelezwa hataangalia walikuwa na nyadhifa gani hapo zamani! Naona kabisa ana target Mashamba yakiwemo ya Sumaye
 
From waziri mkuu to mwenyekiti wa mtaa?amaa kweli usicheze na dua za wapemba.
Anagombea mwenyekiti wa mtaa wa pwani na dsm. Hahaha. Aliyekuwa Waziri Mkuu huyo. Hivi hii inakuwaje. Ni tamaa ya madaraka na ulaji au
 
Anagombea mwenyekiti wa mtaa wa pwani na dsm. Hahaha. Aliyekuwa Waziri Mkuu huyo. Hivi hii inakuwaje. Ni tamaa ya madaraka na ulaji au
Kwa jinsi alvoharbu alookua serikaln sidhan kama atapata wakifata haki na wasitumie hela, maana washaanza eti kachukuliwa form yaani waache kuwachukulia walioanza na chama na kukipgania afu wamchukulie yy? Ndio yale yale ya profesa yule
 
Back
Top Bottom