sumaye alikuja kuangalia afya yake .na hayo maubiri aliombwa kuuuzuria na watanzania waishio uk.na wala hakupanda gari .alipanda train ambayo ni £20 tu kwenda reading na kurudi london.tena sio first class bali third class.sasa kosa lake liko wapi.mnaacha kuangaika na michuzi anayetumia hela zenu vikesheni mnamfuata sumaye alikwenda kutibiwa akaenda na kwenye mahubiri hata hayo maubiri ni tiba pia.badala mshukuru anamuomba mungu na huenda akamjalia akawa na afya njema ,hivyo hatatumia hela za wadau kwa matibabu tena.mnalamika.fungueni macho.
Mwanajamii wenu,
susu
london,uk.