Hakuna jitu jinga duniani kama Sumaye, ngoja baada ya oct 25 atakula mavi yake.
Pamoja na ushabiki wote wa kisiasa na kama unazijua siasa hasa za Tanzania, na dunia kote, huwezi kumtukana mtu kiasi hicho hasa mawaziri wakuu waliopita na binadamu yeyote katika medani za kisiasa vingnevyo unatumika na pia huna akili timamu, Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi na hakuna aliyezaliwa kuwa mpinzani na walioko upinzani wote walikuwa na kadi za ccm chama chetu, kila mwanaccm ana haki ya kujiunga na upinzani kama anadhani anaweza kuwatetea watanzania na yy mwenyewe akiwa nje ya ccm au chama chochote cha upinzani na akiwa upinzani au ccm hawezi kusifia kule alikotoka kwani vingnevyo hakuwa na haja ya kutoka chama kimoja kwenda kingne na anayefanya hivyo watanzania wanasema amenunuliwa naahasimu wao.
Nadhan FS na wenzake wote upande wa upinzani wanahaki kwa kile wanachokisema imradi hawavunji sheria za nchi, na hata mpande wa chama chetu ccm wanasema na wanawasema wapinzani madhaifu yao, thats politics,washabiki,wapenzi wa vyama na wagombea tunatakiwa tuwe na akili zaidi ya wafanye siasa zaidi. Hakuna mwanasiasa ambaye sio mpenda madaraka na ni hulka ya kiumbe hai yeyote yule, binadamu anahitaji kutambuliwa,kuthaminiwa na kuwa maisha mazuri. Na siasa za Tanzania mwanasiasa ndo tajiri kuliko mhadhiri, daktari hata akiwa bingwa,uinginia na wataalamu wote hawana kitu ukilinganisha na mwanasiasa
Huwezi kutumia lugha chafu kiasi hicho kwa viongozi wakuu wa nchi hii hasa wastaafu hasa kwa mambo ambayo ni ya kisiasa.
Naamini hakuna binadamu yeyote yule asiyetaka madaraka yenye tija kwake, vingnevyo hata upande wetu wa ccm kusingekuwa na wagombea wa nafasi zote.