Sumaye ammaliza Lowassa badala ya kunadi

Sumaye ammaliza Lowassa badala ya kunadi

Ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo utajitenga!!! Hasira kwa vijana wa Chadema ni kama wamepigwa sana na CCM kumbe ni akili za kuambiwa na kusomewa yaliyoko katika taarifa mbalimbali na viongozi wao!!! Tumieni akili zenu vijana wa Chadema msikubali kupelekeshwa maana siku mkija kujua yaliyo nyuma ya pazia mtakuja amua kutokuwa na chama kabisa maishani mwenu!!! Siasa ni mchezo kama ulivyo mchezo wa mpira!!! Uchabiki mzuri ni wa kujenga hoja na sio matusi kama mfanyavyo vijana wa Chadema kwa mwenye mawazo tofauti na mliyopewa na viongozi wenu!!!
 
Naona upelekwe mirembe upo sawa kwel?ndio maana mliamua kuwavalisha hao vichàa wenu tshirt za cdm wakafanye fujo wakijifanya wafuasi wa cdm.hapo bado mtatapatapa sana lkn ukweli 25
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo utajitenga!!! Hasira kwa vijana wa Chadema ni kama wamepigwa sana na CCM kumbe ni akili za kuambiwa na kusomewa yaliyoko katika taarifa mbalimbali na viongozi wao!!! Tumieni akili zenu vijana wa Chadema msikubali kupelekeshwa maana siku mkija kujua yaliyo nyuma ya pazia mtakuja amua kutokuwa na chama kabisa maishani mwenu!!! Siasa ni mchezo kama ulivyo mchezo wa mpira!!! Uchabiki mzuri ni wa kujenga hoja na sio matusi kama mfanyavyo vijana wa Chadema kwa mwenye mawazo tofauti na mliyopewa na viongozi wenu!!!
Upo sawa Mkuu!
 
Naona upelekwe mirembe upo sawa kwel?ndio maana mliamua kuwavalisha hao vichàa wenu tshirt za cdm wakafanye fujo wakijifanya wafuasi wa cdm.hapo bado mtatapatapa sana lkn ukweli 25
Siwezi kukulaumu sababu uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo sana, mbaya zaidi unamahaba niue!
 
Ndio sound mlizobaki nazo yaani mmeishiwa hoja mnatapatapa muulizeni bulembo geita..tumegundua mkianza kutukana tunawazomea mwanzo mwisho..

Wanywa viroba bhana
Geita watu walifurika
Na hakuna aliezomewa

bulembo azomewe kwan bulembo ndio aliejinyea geita?
 
Back
Top Bottom