Sumaye ammaliza Lowassa badala ya kunadi

Sumaye ammaliza Lowassa badala ya kunadi

Hamna akili za kuwasaidia wasiojitambua isipokuwa ninyi ndio mnahitaji msaada ili mjitambue na kutambua hali iliyopo.Mnamiliki makampeni meneja vilaza wenye akili ndogo na midomo michafu na roho za uchochezi.Mtu anayejitambua huwa anapima kauli kabla haijafika nje ya mdomo pia mtu anayejitambua hawezi kumponda mtu aliye juu yake kwa kuwaridhisha watu wachache.Vichwa vikubwa akili ndogo na nguvu nyingi kuliko maarifa ni kipimo cha kutokujitambua.
Mbona umepaniki Blaza?
 
12037957_1631010833815877_8984656082398949638_n.jpg

Please do the needful...! Magufuli.
 
Last edited by a moderator:
CONSTRUCTIVE THOUGHT haueleweki. Yaani kila mchangiaji (bila kujadili itikadi au mrengo) umemgongea like. Nilichoamua ni kukupa like pia.
 
Unataka serikali ya kuleta maji, elimu na hospital tu? Nafikiri hujui majukumu ya serikali kwa RAIA wake. Kwa uelewa wako huyo jitathimi kama unafaa kupiga kura.
Hapo nimeongelea mambo ya kawaida ambayo ccm imeshindwa.. Swala la serikali ni kukuza uchumi wa nchi
 
Back
Top Bottom