CONSTRUCTIVE THOUGHT
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,158
- 417
Wenyewe wanasema hata akafie ikulu sawa tu. Actually hata awe kwenye jeneza kura ZAO anazo. Alipo Wapo iwe ICU, kaburini etc. Mwaka huu ni shida!Hiyo picha ya Lowassa hapo mbele ndio habari kuliko habari yenyewe.!
toka nimejua gazeti hakuna siku hili gazeti limeandika habari za ukweli juu ya upinzani
kwa kulisoma jina lako tu!!! Hauonekani kama mtu anayetaka kujua ukweli kuhusu chadema na ukiwa wenu..... Tumeshawatambua na tumeshafanya maamuzi...na tuna kazi moja kuhamasishe wasio jitambua wawatambue....hakuna kurudi nyuma....
Magufuli for change we can believe in!
Toka nimejua gazeti hakuna siku hili gazeti limeandika habari za ukweli juu ya upinzani
kwa kulisoma jina lako tu!!! Hauonekani kama mtu anayetaka kujua ukweli kuhusu chadema na ukiwa wenu..... Tumeshawatambua na tumeshafanya maamuzi...na tuna kazi moja kuhamasishe wasio jitambua wawatambue....hakuna kurudi nyuma....
Magufuli for change we can believe in!
Hujaeleweka Mkuu!Mie nafurahia tu uhuru tulionao wa kunena. Hivi angekuwa LOWASSA na udikiteta, UFISADI wake n.k., huu uhuru wa kunena ungekuwapo?
Fanya kazi kwa bidii na kujituma..... usitegemee kuletewa pesa nyumbani. Kama CHADEMA kila iku wanachangisha pesa za kampeni, ujue nao ni kama wewe tu!CCM imetumaliza WATANZANIA badala ya kuleta Maisha bora waongeza ugumu wa. Maisha .
Nimekubali kweli Sumaye alienda UKAWA kuimalisha CCM.Kammaliza kwelikweli
Kila siku linaandika ukweli ila kwakua wewe ni mpinzani na kazi yako nikupinga... ndio maana unapinga.Toka nimejua gazeti hakuna siku hili gazeti limeandika habari za ukweli juu ya upinzani