SUMA G jamani yuko wapi mwenye ufahamu atujuze!

wazabangah1

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
315
114
Mziki ni mfumo ambao unapopangiliwa vizuri basi huwa na dhamira mbalimbali lakini maudhui ambayo huwafikia watu kwa urahisi ni burudani na kuelimisha, na kila msanii huwa ana style yake ya kuwasilisha mziki wake kwa hadhira ili upate kuwafikia kwa urahisi.

Na kuhusu hilo, Suma G, alifanikiwa kiasi fulani hasa kwa ngoma zake nzuri zenye kuburudisha na kufundisha kama si sana basi angalau utakutana na mashairi mawili matatu yenye ujumbe ndani yake, ingawa mziki wake uligusa hasa mwananchi wa kawaida, ila kiasi fulani hata wale ambao si wa tabaka la chini!

Ila Mimi huwa nahuzunika pindi vipaji kama hivi vinapotea halafu hakuna jinsi ya kuvirudisha ilihali mziki kwa sasa umekua kama biashara na vijana wengi nowdays wanatoka kimaisha kupitia humo!

Jamani mwenye uelewa atujuzee wapii alipo Suma G na Uswahili Matola yake yenye vichekesho na fundisho pia! ""Pombe umeizidishaa ilizanii chaiii""""
 
i miss this dude in music industry, suma genius, suma gangster, last year he came up with a certain song called "muulize meneja" featuring prof j, bongo music industry is full of magumashi so wasanii wengi talented na wanaojitambua wanapotezwa kimtindo.
#Hotpot Family#s
 
kuna kipindi alianzaanza kurudi, kuna track alimshirikisha QRacka, ila alijizika kabisa alipojiunga na vinega kipindi kile cha battle lao ni Ruge
 
i miss this dude in music industry, suma genius, suma gangster, last year he came up with a certain song called "muulize meneja" featuring prof j, bongo music industry is full of magumashi so wasanii wengi talented na wanaojitambua wanapotezwa kimtindo.
#Hotpot Family#s

I didn't hear that song! But I think some of artist fail to overcome a challenges on how to maintain a fame and at the same time to make sure that songs went to be released base on the real situation of our daily life but hope the guy ↓ ↓ there say about #VINEGA lead to the disappearance of Suma G I don't know the relation between them so may be someone came and clear it well in order to be known.
 
kuna kipindi alianzaanza kurudi, kuna track alimshirikisha QRacka, ila alijizika kabisa alipojiunga na vinega kipindi kile cha battle lao ni Ruge

Sijui ilikuaajee mpaka akajiunga huko ila pia sio sababu ya kufanya apotee Kama kipaji alikua nacho chakuweza kufanya anyanyuke tenaa! Mimi binafsi nampa nafasi nyingine tena Kama anapita humu awe na amani uwezo anao.
 
I didn't hear that song! But I think some of artist fail to overcome a challenges on how to maintain a fame and at the same time to make sure that songs went to be released base on the real situation of our daily life but hope the guy ↓ ↓ there say about #VINEGA lead to the disappearance of Suma G I don't know the relation between them so may be someone came and clear it well in order to ne known.

Vinega ni kundi lililoongozwa na Sugu ambao waliunganika wasanii wanaodai kunyonywa na kubaniwa na Ruge (Clouds Fm), lilivuma sana miaka ya 2010-2012. Kama hukuwajua vinega kwa wakati huo u mean that hufatilii mziki
 
Vinega ni kundi lililoongozwa na Sugu ambao waliunganika wasanii wanaodai kunyonywa na kubaniwa na Ruge (Clouds Fm), lilivuma sana miaka ya 2010-2012. Kama hukuwajua vinega kwa wakati huo u mean that hufatilii mziki

Vinega nilikua nawafaham mkuu ila Nilichokua nahitaji ni jinsi gani Suma G alijiunga vinega ile hali alikua nakundi lake la uswahilin matola, napia istoshe bado anakipaji Kama akiamua kurudi kwenye hii music industry Ana nafasii kubwa kwasababu mashabiki wake tumizi miss zile swaga sake
 
Vinega nilikua nawafaham mkuu ila Nilichokua nahitaji ni jinsi gani Suma G alijiunga vinega ile hali alikua nakundi lake la uswahilin matola, napia istoshe bado anakipaji Kama akiamua kurudi kwenye hii music industry Ana nafasii kubwa kwasababu mashabiki wake tumizi miss zile swaga sake

Hakuwahi kuwa Uswahilini Matola bali aliwahi kuwa Hot Pot Family na kina Soggy Doggy Anter. Vinega 'Antivirus' was just a movement iliyohusisha wasanii tofauti, halikuwa kama makundi mengine kwa ajili ya kufanya muziki
 
Hakuwahi kuwa Uswahilini Matola bali aliwahi kuwa Hot Pot Family na kina Soggy Doggy Anter. Vinega 'Antivirus' was just a movement iliyohusisha wasanii tofauti, halikuwa kama makundi mengine kwa ajili ya kufanya muziki

Yeah hot pot family men and thanks for that intro. and by the way I like that vinega movement but dizain Fulani ilifanikiwaa kupotezaa baadhi ya wasanii wetu though walikua wanateteaa maslahi yao ila isiwe ngumu kwa mwamba suma g kujisalimisha na kumaliza tofauti zao na hawo waliokua wapinzani Kama walivyofanya mapachaa ili ule mziki mzuri tuliokua tunaumiss uwezee kurejeaa Kama zamanii na maishaa yaendelee.
 
you talking about the dude tuliocheza wote kitaa kimoja tokea wadogo...suma anaishi uwanja wa ndege mitaa ya karakata..he and i share pain and laughters...he went music way i went university way.....i know the dude very damn well,we grew up in mwembechai neighborhoods....we didn't have sh*t to brag about...let me say no more..
 
you talking about the dude tuliocheza wote kitaa kimoja tokea wadogo...suma anaishi uwanja wa ndege mitaa ya karakata..he and i share pain and laughters...he went music way i went university way.....i know the dude very damn well,we grew up in mwembechai neighborhoods....we didn't have sh*t to brag about...let me say no more..

Daaaaaah! Men sound good and I see the real love on you thought! But suma g have gota real talent! men and as a fun we need to hear that swagger back again on the line that why you see the thread with high content like this, so please tell us anambishee gani right now na nini plan yake kwa hii gemu! Je ukimtizamaa anaham ya kurudii tenaa tujuzeee brother!
 
you talking about the dude tuliocheza wote kitaa kimoja tokea wadogo...suma anaishi uwanja wa ndege mitaa ya karakata..he and i share pain and laughters...he went music way i went university way.....i know the dude very damn well,we grew up in mwembechai neighborhoods....we didn't have sh*t to brag about...let me say no more..

Wewe mmarekani wa Tandale,umeulizwa Suma yuko wapi, anafanya nini na je ana ndoto ya kurudi kwenye music industry? Sio damn mara university way na mziki way oooh....yoyoyooo na mboyoyo mingi.
 
Wewe mmarekani wa Tandale,umeulizwa Suma yuko wapi, anafanya nini na je ana ndoto ya kurudi kwenye music industry? Sio damn mara university way na mziki way oooh....yoyoyooo na mboyoyo mingi.

Hahahahahahaaaaaaa noma sanaaa humu ndanii kuna raha yakeeee
 
Daaaaaah! Men sound good and I see the real love on you thought! But suma g have gota real talent! men and as a fun we need to hear that swagger back again on the line that why you see the thread with high content like this, so please tell us anambishee gani right now na nini plan yake kwa hii gemu! Je ukimtizamaa anaham ya kurudii tenaa tujuzeee brother!
tunaishi separate bit these days lakini ukiongea naye na kumuuliza whatsup mbona kimya atakwambia ana mistari mingi na amerekodi tracks kadhaa,tatizo linabaki ni kwamba washikaji ambao walishakuwa mainstream hawako tayari kumbeleza dj apige joint yake na hawa presenters ni njaa na ukichukulia kile ni kizazi cha madj kama dj jdambao hawakuwa na longolongo....kimsingi mshikaji anasimama kwenye misingi ya kwamba kama you are talented sio tena kuanza kupita njia za kubembelezana na kupigiana magoti kama underground if you know what i mean.
 
I didn't hear that song! But I think some of artist fail to overcome a challenges on how to maintain a fame and at the same time to make sure that songs went to be released base on the real situation of our daily life but hope the guy ↓ ↓ there say about #VINEGA lead to the disappearance of Suma G I don't know the relation between them so may be someone came and clear it well in order to be known.

Duu kizungu cha vituko uswahilini..ebwana wee uswahilini kuna vituko!
 
Wewe mmarekani wa Tandale,umeulizwa Suma yuko wapi, anafanya nini na je ana ndoto ya kurudi kwenye music industry? Sio damn mara university way na mziki way oooh....yoyoyooo na mboyoyo mingi.

nisamehe bure mkuu nimejikuta nimekuwa emotional all of a sudden baada ya kuona uzi wa childhood homie..nimejaribu kumuelezea mshikaji hapo juu ninachojua kuhusu suma kiasi flani,kuhusu umarekani weusi hayo ni mawazo yako mi nimechanganya english ya kawaida kabisa..sijawahi kukaa tandale mkuu unless mwembechai kwako wewe ni tandale...upo mkoa gani mkuu?
 
Back
Top Bottom