You guy! Unataka kuniambia ukipata cheti cha form 6 unatakiwa uchome kile cha form 4. Lol Tz ni moja ya maajabu 7.UNAKAA NA KADI YA uvT YA NN WAKATI UMRI WAKO USHAVUKA? GREAT THINKERS!! YOU GUYS WHAT ARE YOU DISCUSSING HERE? LEAVE THEM ALONE PROPAGATE POSITIVE ISSUES.
Naunga mkono hoja mia kwa mia....
Iitwe siku ya uchomaji kadi za CCM na ikiwezakana kuwe na kontena na mabango na countdown kuelekea hiyo siku. Kadi kitu gani bana mbona Kinana ana kadi ya CCM lakini anatuulia Tembo wetu
Habari njema niliyopewa na ndugu wananchi wa jimbo la KIGAMBONI katika kukusanya maoni yao juu ya Vuguvugu la Mabadiliko (M4C) nimepokea maoni mazuri baadhi ya maoni hayo ni hili la KADI .
Ambayo wengi wamesema Ili kudhihirisha CCM hatuipendi ni lazima kadi zote zilizokusanywa na Wanamapambano zitafutiwe SIKU maalumu ya kitaifa ya KUZICHOMA moto kadi zote za CCM na Vyama Vingine na harakati hiyo iongozwe na DR.SLAA pamoja na KADI yake mbele ya UMMA wa Watanzania wote ili iwe Historia ya leo na Kizazi kijacho.
You guy! Unataka kuniambia ukipata cheti cha form 6 unatakiwa uchome kile cha form 4. Lol Tz ni moja ya maajabu 7.........
Anzisha basi mjadala wa matatizo sugu.
hakuna kiingereza kibaya ivo duniani wewe.. eti what is the big ha ha haaaaaaa,shule gani hiyo mkuu? big,bigger, bigest/the biggest.usituaibishe