creedfx
Member
- Jun 24, 2022
- 86
- 37
salam salam,
Ni wazi hali ni ngumu halafu kila siku bei za vifurushi zimekuwa zinapanda bei mfano, Halotel kwangu mimi ndiyo nikiwa naona ni mtandao wenye gharama nafuu.
Kwa miezi fulani hapo nyuma nilikuwa najiunga kifurushi cha 10,000 unapewa GB 4.4 kwa mwezi, hii kidogo inapunguza gharama kwa matumizi ya kawaida ila sasa unaenda kwenye kile kifurushi cha Royal kujiunga kwa mwezi unakutana na GB 3.8 kitu ambacho ni dhahiri itakulazimu kuongeza pesa ili upate GB za ziada.
Binafsi lengo la kuja huku ni kutaka msaada na ushauri kuhusu mtandao gani unakifurushi kizuri ambacho ukipiga wastani wa pesa unayolipia kifurushi na kiasi cha data utakazopewa basi inakuwa ni msaada mkubwa kwa kiasi fulani.
Kwa sababu nafahamu kuna ma 'great thinkers' na kuna watu ambao wanauzoefu na ufahamu mkubwa kuhusu mitandao ya simu na gharama zake kiujumla, natumai nitapata msaada mzuri na kwa wakati na kama basi umefanikiwa kupata uzi huu na siyo mtaalam basi naomba umtag yeyote mwenye unafahamu anaweza tusaidia.
Mpaka kuandika uzi huu na kuomba msaada nimeshapitia nyuzi kadhaa zilizowekwa humu kuanzia 2020 mkapa 2022 kwa ku 'search ROUTER' na nyingi nimeona kipengele cha Tigo kile kifurushi cha kutumia bando ndiyo ulipe kinapigiwa debe mno.
Kama kuna kingine basi naombeni msaada.
Ni wazi hali ni ngumu halafu kila siku bei za vifurushi zimekuwa zinapanda bei mfano, Halotel kwangu mimi ndiyo nikiwa naona ni mtandao wenye gharama nafuu.
Kwa miezi fulani hapo nyuma nilikuwa najiunga kifurushi cha 10,000 unapewa GB 4.4 kwa mwezi, hii kidogo inapunguza gharama kwa matumizi ya kawaida ila sasa unaenda kwenye kile kifurushi cha Royal kujiunga kwa mwezi unakutana na GB 3.8 kitu ambacho ni dhahiri itakulazimu kuongeza pesa ili upate GB za ziada.
Binafsi lengo la kuja huku ni kutaka msaada na ushauri kuhusu mtandao gani unakifurushi kizuri ambacho ukipiga wastani wa pesa unayolipia kifurushi na kiasi cha data utakazopewa basi inakuwa ni msaada mkubwa kwa kiasi fulani.
Kwa sababu nafahamu kuna ma 'great thinkers' na kuna watu ambao wanauzoefu na ufahamu mkubwa kuhusu mitandao ya simu na gharama zake kiujumla, natumai nitapata msaada mzuri na kwa wakati na kama basi umefanikiwa kupata uzi huu na siyo mtaalam basi naomba umtag yeyote mwenye unafahamu anaweza tusaidia.
Mpaka kuandika uzi huu na kuomba msaada nimeshapitia nyuzi kadhaa zilizowekwa humu kuanzia 2020 mkapa 2022 kwa ku 'search ROUTER' na nyingi nimeona kipengele cha Tigo kile kifurushi cha kutumia bando ndiyo ulipe kinapigiwa debe mno.
Kama kuna kingine basi naombeni msaada.