Suluhisho la majitaka kutoka manyumbani na viwandani

Huu mfumo hauna tofauti na zile septic tank za zamani ila mafundi wengi wakikuwa wanazikosea kuzijenga kiasi ambacho zikawa haziwezi kufanya kazi ikiyokusudia ya kufanya biodigester. Ninachoona katika huu mfumo ni uboreshwaji wa septic tank na kuifanya iwe ya size ndogo
Imeboreshwa kuna kitu kinaitwa HRT Hydaulic Retention Time, na pia hii biodigester i look o effective sana kwenye biodegradation kuliko hizo ordinary septic tank system, na pia bei ya biodigester ni cheap, so why uhangaike na septicity?
 
Kwa hizo bei wacha tuendelee na yaleyale ya kuchimba
Hizi bei za haya mashimo ni kama tu ilivyo bei ya pikipiki za miguu mitatu maarufu kama bajaj.

Hizi pikipiki ki ukweli kwenye utengenezaji hazina gharama sana ya kuzifanya zizidi hata bei ya Toyota Passo Impoted Used fom Japan. Yaani ukiangalia kwenye Toyota Passo kifaa kimoja kimoja kuanzia matairi, taa, body, engine, seats, gearbox etc hakuna kifaa hata kimoja cha Passo ambacho ni bei rahisi kuliko cha Bajaj, Ila kwa kua tu Bajaj ni vyombo vinavyohitajika sana basi bei yake ni sawa au hata zaidi ya hiyo Passo.

Wenye kutengeneza haya mshimo kama mleta mada wangeacha tamaa wakauza huduma yao kulingana na Gharama za utengenezaji wengi wetu tungehitaji huduma zao hivyo wangepata tu wateja. Lakini sababu wanaamua kukomaa na bei zao hizo za tamaa basi wacha tu nasi tuendelee na mashimo yetu ya kuchimba ya kawaida tuliyoyazoea.
 
Mfumo huohuo wa 2.5M unaweza kuhimili matumizi ya lodge vyumba 7 self?
 
Haaaah haaaah Tripo9 unaweza kuja whatsapp nikakupa mechanism, but anyway: tunaweka enzymes (hizi sio chemical bali ni biological manufactured) kwenye zege, so simply zege linakua na mazingira ya kuruhusu microbs(wale wadudu walao kinyesi) kuzaliana na kushambulia kinyesi effective and fast, complete metabolism. Dah naona kama nakuchanganya ila
Mkuu,

Ikitokea choo kisitumike kabisa kwa mwaka mzima hao enzymes wanaweza survive bila kinyesi au itabidi kupandikiza wengine tena?
 
Mkuu,

Ikitokea choo kisitumike kabisa kwa mwaka mzima hao enzymes wanaweza survive bila kinyesi au itabidi kupandikiza wengine tena?
Hao enzymes sio viumbe ila ni activation agent tu, hii hapa graph ya bacteria will not become zero hata ikae miaka, population inajicontrol
IMG20200605204310.jpeg
 
Anaweza kuwa analipa kidogo kidogo (instalment) ninaweza kuja kumshauri ni free service
Hii nimeipenda,
Unaweza kuja PM kunijulisha hiyo kidogo kidogo kuanzia bei gani?
Na mwisho kulipa muda gani?

Naweza kukuunganisha na mteja fasta.
 
Wateja wa Dodoma karibuni, hapa ni NMB Dodoma behind CCM HQ offices
IMG20200615122514.jpeg
IMG-20200613-WA0033.jpeg
 
Sidhani kama itakua ustaarabu kuweka namba zao humu, lakin kama unahitaji naweza kukupeleka kwa hapa dar, au kama ni mkoan nieleze uko mkoa gani nikupe maeneo niliyoweka ukapate abc
Nitumie namba yako DM mkuu
 
Back
Top Bottom