johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Suguye ni mchungaji wa Halima Mdee na Bulaya
Kwa afrika uhaini ni mpinzani Wako kuwashawishi wananchi kukutoa madarakaniHuyo Suguye anajua maana ya uhaini?. Mambo Kama hujui kaa kimya.
Kwa hili huna haja ya kumwamini, sikiliza ujumbe wake tu, itatoshaSijawahi kumuamini Suguye
ndio nani huyo sungura gentleman?🐒Maelezo kwenye video View attachment 3309881View attachment 3309881
Nani Balile?Ila unamwamin lile bwabwa lenye kengeza kule Karag..
HUyo mkalimani hafai.Mwambie huyu nabii atafute mkalimani mwingine.
Bago...Nani Balile?
Wasije wakamfungia tena hilo kanisaMaelezo kwenye video View attachment 3309881View attachment 3309881