Sugu & vinega watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko

Mwanagandila

Senior Member
Oct 9, 2011
182
100
Sugu a.k.a Joseph Mbilinyi pamoja na kundi la vinega wametoa msaa wa gunia 42 za mahindi kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea siku chache mkoani mbeya!
Msaada huo wa gunia 42 una thamani ya mil 1.2 fedha ambazo zilipatikana katika asilimia ya kiingilio cha tamasha lao mjini mbeya mkesha wa kuamkia x mass.
Vinega walipanga kutoa tshs 1000/= kwa kila tiketi ya tshs 3000/= ya kiingilio cha tamasha hilo!
Swali vp Clouds fm wazee wa promo mbona hatujaona mchango wao wowote katika maafa haya ya mafuriko?au hata msaada ili watoe inabid wapewe udhamini na airtel?
Faida wanazopata kwa matamasha yao kila mwezi wanashindwa kutoa hata 1% kwa waathirika wa mafuriko?
Ama kweli wafu fm & na baba yao rugay ni wanyonyaji wa sanaa ya bongo
 
Hii wafu fm(Clouds),nimewasikia leo wakijisifu kwamba wametoa Hema kubwa jeupe,tena mtangazaji alienda mbali kwa kusema "Tent lipo tayari pale linasubiri wagonjwa waumwe ili watibiwe"
Huyu mtangazaji atakuwa alibip kiswahili!!!
 
1. Big up to Sugu and Co. for this effort. Tunataka kuona Watanzania wana ji organize wenyewe kutatua matatizo yao zaidi, bila kungojea/ kutegemea serikali.

2. Wabongo wenye moyo wa kutoa (including the likes of Sugu) wanahitaji kuji-organize zaid, 1.2 mil Tsh (tunashukuru) ni mediocre kwa kiwango cha maafa haya. Mie si mambo fresh kihivyo lakini nimetuma mnyamwezi buku nyumbani Krismasi hii machiz/ family wajisikie.Not into flashing, but I felt this needs to be told just to give the correct perpective on this matter. Hiyo tu ni zaidi ya concert nzima ilivyotoa kwa charity hii.Sasa kama hii issue ingepata proper publicity na coordination mengi zaidi yangewezekana.

3. Sugu is far from perfect. Lakini watu wenye mawazo ya "umimi" hawataisha kuuliza visivyoulizika. Mtu akifanikisha a benefit concert anatakiwa kukutia deni wewe ambaye hujafanya kitu. Sio kuanza kuamsha maswali ya "concert imechangia wapi?". Sugu mbunge wa Mbeya, ulitegemea aanze kuonyesha mfano wapi kama si jimboni kwake? Mshasikia "Charity begins at home?"
 
Yes bro,Charity begin at home.huu ndio mwanzo mzuri kwa wasanii sio kujifanya wanatoa kwa mgongo wa wafadhili kama Clouds na Airtel! Toa mfukoni mwako(give back to society).Safi vinega!
 
Unaweza kuta hata hilo tent waliolitoa wamepewa msaada na mtu au kampuni halafu wanajifanya wao ndio wametoa!
Airtel last week walikuwa mbeya na wafu fm wiki hiyo hiyo mafuriko yametokea mbeya, cha ajabu hatujasikia kuchangia chochote kwa jamii iliyokumbwa na maafa
 
kwa hii roho kama yako,Tanzania maendeleo yatachelewa sana..

Wamechangia waathirika wa mkoa wa mbeya eneo la iyunga! Wamefanya hivyo kwa sababu tamasha hili limefanyika mbeya na wikii hiyo hiyo ndo jiji la mbeya lilikumbwa na mafuriko!
 
Msaada sio lazima utangaze wewe subiri utangazwe na wahusika Wengine Wanapenda Media tu. Sema sabau Siku hizi hakuna uadilifu ukitoa msaada kwa kujitangaza unapata mibaraka pia.. Toeni Kutoa ni Moyo na Usambe ni Utajili
 
hongera zake na mungu awazidishoe moyo wa upendo watz wot na atuondolee rohop ya kwanini inayotusumbua..
 
Sugu a.k.a Joseph Mbilinyi pamoja na kundi la vinega wametoa msaa wa gunia 42 za mahindi kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea siku chache mkoani mbeya!
Msaada huo wa gunia 42 una thamani ya mil 1.2 fedha ambazo zilipatikana katika asilimia ya kiingilio cha tamasha lao mjini mbeya mkesha wa kuamkia x mass.
Vinega walipanga kutoa tshs 1000/= kwa kila tiketi ya tshs 3000/= ya kiingilio cha tamasha hilo!
Swali vp Clouds fm wazee wa promo mbona hatujaona mchango wao wowote katika maafa haya ya mafuriko?au hata msaada ili watoe inabid wapewe udhamini na airtel?
Faida wanazopata kwa matamasha yao kila mwezi wanashindwa kutoa hata 1% kwa waathirika wa mafuriko?
Ama kweli wafu fm & na baba yao rugay ni wanyonyaji wa sanaa ya bongo
ulianza vizuri ila hapo mwisho umeanza uchonganishi, any way big up sugu na vinega wote kwa kusaidia watanzania wenzetu.
 
Yote yanayofanywa na Mh Sugu ni ujinga na upuuzi wa akili ambayo haiko makini. Unawachangisha wana Mbeya wenyewe kuja kuona pimbi mfupi akiwa na genge la wavuta bangi wakitoa mitusi bila mpangiloo jukwaano. Then baada ya hapo unachukua hela zao hizo na kusema umewanunulia mahindi ya sh 1.2. Hiyo ni kejeli ya hali ya juu kwa wana Mbeya. Subiri 2015 uone upinzani kura za maoni ndani ya CDM jimbo la Mbeya

Wivu wa kike na chuki za kijinga hazitowasaidia magamba nyie.. Sugu anawauma sana siyo???? Na bado mtaumia milele...halafu utakuwa siyo wewe ila ni bangi hizo. Mtu mzima mwenye akili zake timamu hawezi kuongea upupu hivi..ninamashaka sana na kiwango chako cha elimu.
 
Kwani aliyetoa charity ni SUGU au VINEGA. Kama ni VINEGA je home gani mnayozungumzia? Mbeya ndio home kwa VINEGA?

Charity begins at home as in Sugu kwao Mbeya, kaandaa kitu na wenzake kusaidia kwao. Huwezi kutegemea Sugu aanzie charity sehemu ambayo si kwao. Huwezi kumlaumu Sugu kwa nini kafanya benefit concert Mbeya, ndio kwao.

Vinega wa Mpwapwa nao wakipata maafa washajenga mtandao wa kuitana na wenzao kupiga benefit concert, kwa style hii Sugu nae kama ratiba inamruhusu sioni kwa nini akatae.

Mtu yeyote atakaye shoot down attempt ya Watanzania kusaidiana wenyewe kwa wenyewe bila kuomba msaada wa serikali mi namshangaa.
 
In the name of charity, so much mischief has already been witnessed in this world.

Don't generalize, kama kuna mischief imetokea katika this particular charity itaje.

Ama sivyo utakataza watu kutoa kwa sababu tu "in the name of giving so much mischief has already been witnessed in this world"

Kama wewe huna roho ya kujitolea waache wenzako.
 
Back
Top Bottom