Mwanagandila
Senior Member
- Oct 9, 2011
- 182
- 100
Sugu a.k.a Joseph Mbilinyi pamoja na kundi la vinega wametoa msaa wa gunia 42 za mahindi kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea siku chache mkoani mbeya!
Msaada huo wa gunia 42 una thamani ya mil 1.2 fedha ambazo zilipatikana katika asilimia ya kiingilio cha tamasha lao mjini mbeya mkesha wa kuamkia x mass.
Vinega walipanga kutoa tshs 1000/= kwa kila tiketi ya tshs 3000/= ya kiingilio cha tamasha hilo!
Swali vp Clouds fm wazee wa promo mbona hatujaona mchango wao wowote katika maafa haya ya mafuriko?au hata msaada ili watoe inabid wapewe udhamini na airtel?
Faida wanazopata kwa matamasha yao kila mwezi wanashindwa kutoa hata 1% kwa waathirika wa mafuriko?
Ama kweli wafu fm & na baba yao rugay ni wanyonyaji wa sanaa ya bongo
Msaada huo wa gunia 42 una thamani ya mil 1.2 fedha ambazo zilipatikana katika asilimia ya kiingilio cha tamasha lao mjini mbeya mkesha wa kuamkia x mass.
Vinega walipanga kutoa tshs 1000/= kwa kila tiketi ya tshs 3000/= ya kiingilio cha tamasha hilo!
Swali vp Clouds fm wazee wa promo mbona hatujaona mchango wao wowote katika maafa haya ya mafuriko?au hata msaada ili watoe inabid wapewe udhamini na airtel?
Faida wanazopata kwa matamasha yao kila mwezi wanashindwa kutoa hata 1% kwa waathirika wa mafuriko?
Ama kweli wafu fm & na baba yao rugay ni wanyonyaji wa sanaa ya bongo