Sugu ninampenda, DMX ninampenda, Ruge........

Sugu ninampenda, DMX ninampenda, Ruge........

Crucifix

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2011
Posts
1,655
Reaction score
593
Nampenda Sugu kwani ni mwanamuziki nguli wa hiphop ya bongo na DMX nampenda kwa sababu ni msanii nguli Marekani. Sasa taabu naipata kwa Ruge, maana sijui ana kipaji gani. Tangu amdhulumu Sugu ile dili ya malaria no more sina hamu na Ruge. So, kesho ni VINEGA bana........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom