EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
Mbunge wa mbeya mjini ndg JOSEPH MBILINYI jana tarehe 11/01/2012 alipokuwa akiongea na wananchi wa jimbo lake Ktk viwanja vya nzovwe shule ya msingi, aliwaonya waache tabia KUMUITA RAISI kwa kuwa anaogopa kupewa kesi ya UHAINI...
Aliongea hayo mda mfupi kabla mgeni rasmi Dr. Slaa hajapewa nafasi ya kuzungumza na wananchi......
Swali je wananchi wataelewa..... Maana si jimboni kwake tu hata dsm ktk uzinduzi wa albam ya antivirus mashabiki wake walikuwa wakimshangilia kwa kumuita Rais.....
Aliongea hayo mda mfupi kabla mgeni rasmi Dr. Slaa hajapewa nafasi ya kuzungumza na wananchi......
Swali je wananchi wataelewa..... Maana si jimboni kwake tu hata dsm ktk uzinduzi wa albam ya antivirus mashabiki wake walikuwa wakimshangilia kwa kumuita Rais.....