Sugu awaonya wakazi wa mbeya mjini

Sugu usiogope hawawezi kukupa kesi ya uhaini kwani ushawai jitangaza kwamba wewe rais wa JMT? Kama haujawai usiogope,mbona tuna rais wa wasafi,rais wa masharobaro,tuna rais wa sinza mareaga,tuna rais wa manseze madee,tuna prezda wa akudo,tuna prezda wa ngwasuma nk
 
Nasema Sugu rais,mbeya nchi,kwetu huku yeye ndiye kila kitu na mtetezi wa watu wa chini kama vile machinga ambao ni wengi sana hapa Mbeya kuliko kokote Tanzania,mshikaji kiukweli ni mtu wa watu na mtetezi sana wa watu wa chini,Mbeya huwaambii kitu kuhusu Sugu mana 90% ya wakazi wa Mbeya ni vijana wazee wapo Tukuyu huko,kyela n.K.
 
Hao unaojaribu kumlinganisha nae hawakushinda hizo chaguzi where as Sugu did win hivyo ulinganifu huo si sawa na kuhusu utabiri wako inategemea na vigezo vyako bt halahala usijekuwa kama late Sheikh Yahya or TMA (Watabiri wa Hali ya Hewa Bongo) na tabiri zao

naheshm uwepo wako mkuu
 
Watu wengi hapa wamekurupuka sana kwa kauli hii ya sugu, sugu yupo sahihi kusema vile. Kama mna kumbukumbu vurugu zilipotokea mbeya kuna baadhi ya watu waliandika ujumbe kwenye mabango ulisomeka ''MBEYA NI NCHI NA SUGU NDO RAISI" ukitafakali hii sentensi fupi kwa haraka sana huwezi kuona madhara yake kwa sugu hasa kwa wale wenzangu wenye vichwa less, lakini ukiitafakari kwa umakini hii sentensi inamadhara sana kwa sugu ukichukulia kuwa sugu ni mwanasiasa huenda watawala wetu wakatafakari na kuchukulia kuwa sugu anaushawishi wa kuwafanya watu wa mbeya waweze kujitenga na kuunda taifa lao yaani mkoa wa mbeya kuwa nchi inayojitegemea kwa kila kitu, kwa wale mnaomponda sugu mlipaswa kujihoji kwa nini sugu aliamua kusema vile na ni kwa mantiki ipi na siyo kukurupuka na kuanza kuponda tu.
 
Mimi naona kuna jamaa anajiita huihui mpaka anajiapiza oh CDM watamsimamisha mtu mwingine
mm nadhani atoe ushaidi hii tabia ya kutaka kutuaminisha vitu visivyokuwepo kama ilivyozoeleka
kwenye Chama Cha Majambazi sidhani inanafasi tena maana mganga aliyekuwa maarufu wa
kuaminisha keshatutoka naona kuna wat wanataka kuchukua nafasi yake.
Sgu anahaki ya kujilinda na kali hili liinchi halieleweki maana mawaziri wote machachari wamekuwa
wagonjwa ghafla saizi wanatafutana kwenye majimbo kukosoana kila kukicha na watu makini
hutoa kauli makini kwa wakati muufaka. Big UP CDM Mpaka kieleweke
 
Sugu asiogope "KUITWA" Rais wa Mbeya, mbaya kama "ANAJIITA", maana huo ni utashi wa wanao muita hivyo kwani wao ndo wanasema! Rais anaweza kuwa mtu yeyote yule katika nyanja au eneo fulani. Mfano; kuna kauza sura fulani, kaimba bongo flava kanajiita "Rais wa Masharlbaro", hakajakamatwa na hakuna wa kuka-kamata! Hivyo Mr. Sugu asiwe na wasiwasi. Kwa ukweli JK ni Rais wa JMT na Dr. Slaa ni Rais wa Watanzania. Hutaki kapige mbizi!
 
sugu asiogope "kuitwa" rais wa mbeya, mbaya kama "anajiita", maana huo ni utashi wa wanao muita hivyo kwani wao ndo wanasema! Rais anaweza kuwa mtu yeyote yule katika nyanja au eneo fulani. Mfano; kuna kauza sura fulani, kaimba bongo flava kanajiita "rais wa masharlbaro", hakajakamatwa na hakuna wa kuka-kamata! Hivyo mr. Sugu asiwe na wasiwasi. Kwa ukweli jk ni rais wa jmt na dr. Slaa ni rais wa watanzania. Hutaki kapige mbizi!
kingine siyo sugu tu kuna mwingine anaitwa machemli yeye ameshajitangaza ni rais wa visiwa vya ukerewe, tena afadhali ya sugu anayeitwa sisi tunajiita ni marais , mimi binafsi chief masanja nimeshajitangza kuwa ni rais wa shinyanga asiyetaka na aseme na aje na sababu kwa nini nisiwe rais wa shy
 
Tatazo Sugu ni muuza sura... na unfortunately most ya watu wambea do not
see him kama alivo... Hata nashangaa hii kauli katoa, maybe he is evolving...


hayo maneno kwenye Red yamenifanya nikugongee like !...

 
Nasema Sugu rais,mbeya nchi,kwetu huku yeye ndiye kila kitu na mtetezi wa watu wa chini kama vile machinga ambao ni wengi sana hapa Mbeya kuliko kokote Tanzania,mshikaji kiukweli ni mtu wa watu na mtetezi sana wa watu wa chini,Mbeya huwaambii kitu kuhusu Sugu mana 90% ya wakazi wa Mbeya ni vijana wazee wapo Tukuyu huko,kyela n.K.

LABDA ... Rais wa KINEGA ... he isn't even worth kuwa mjumbe wa nyumba kumi.. 2015 CDM wanapoteza jimbo...
 
Nasema Sugu rais,mbeya nchi,kwetu huku yeye ndiye kila kitu na mtetezi wa watu wa chini kama vile machinga ambao ni wengi sana hapa Mbeya kuliko kokote Tanzania,mshikaji kiukweli ni mtu wa watu na mtetezi sana wa watu wa chini,Mbeya huwaambii kitu kuhusu Sugu mana 90% ya wakazi wa Mbeya ni vijana wazee wapo Tukuyu huko,kyela n.K.

umeanza vizuri lakini mwishoni umeanza kuvulunda futa usemi wako mwishoni mwa mchango wako kyela na tky kuna vijana kauli yako ni ya kidharirishaji.....
 
Kuna marais wengi, anaweza kuwa rais wa mbeya, rais wa Muziki na kuna marais wa makampuni mbali mbali. Kwa hiyo neno rais linategemea na sehemu anayoitwa. Kama anaitwa rais wa Tanzania hapo ndipo itakuwa sooo!!!

Very True. Kuna Rais wa TFF, Rais wa Yanga, Rais wa CWT, Nk.
 
Watu wengi hapa wamekurupuka sana kwa kauli hii ya sugu, sugu yupo sahihi kusema vile. Kama mna kumbukumbu vurugu zilipotokea mbeya kuna baadhi ya watu waliandika ujumbe kwenye mabango ulisomeka ''MBEYA NI NCHI NA SUGU NDO RAISI" ukitafakali hii sentensi fupi kwa haraka sana huwezi kuona madhara yake kwa sugu hasa kwa wale wenzangu wenye vichwa less, lakini ukiitafakari kwa umakini hii sentensi inamadhara sana kwa sugu ukichukulia kuwa sugu ni mwanasiasa huenda watawala wetu wakatafakari na kuchukulia kuwa sugu anaushawishi wa kuwafanya watu wa mbeya waweze kujitenga na kuunda taifa lao yaani mkoa wa mbeya kuwa nchi inayojitegemea kwa kila kitu, kwa wale mnaomponda sugu mlipaswa kujihoji kwa nini sugu aliamua kusema vile na ni kwa mantiki ipi na siyo kukurupuka na kuanza kuponda tu.

mkuu natambua uwepo wako
 
Hata mdoli ukiuita Rais kwani kuna tatizo gani? Au Marehemu ukimwambia yuko hai, siyo uhaini. Kwa hiyo yeye aendelee tu kuitwa Rais wala hatasumbuliwa kwani hana tofauti na mdoli

Unaakili nyingi sana wewe! Kama huu mdoli unao tuongoza "Wadanganyika" tunauita hivyohivyo!! na wenyewe unachekacheka tu....!
 
Sugu anayo haki ya kuwashauri wapigakura wake kutomuita jina ambalo anadhani si stahili yake, ingawa wananchi nao wanayo haki ya kukubaliana na ushauri wake ama la!

Sasa kuna watu hapa wana mawazo ya ajabu sana wanabeza kila anachofanya Sugu. Na ndio hao hao wamekuwa wakimbeza tangu anagombea hadi ameshinda ubunge, na hata sasa wanamuombea mabaya wakati wananchi wanazidi kuonyesha imani kwake.

Kwa namna baadhi ya watu(ambao ni wale wale wa siku zote) ''wanavyotabiri'' Sugu kushindwa uchaguzi 2015 mbeya mjini, ama kutosimamishwa tena na chadema, ni dalili za wazi kwamba huyo ndiye tishio kwao katika harakati za kuwania ubunge mbeya mjini 2015.

Ushauri wangu kwa hawa watu, ni kwamba wampe ushirikiano sugu awaletee maendeleo mbeya, ikifika 2015 chama pamoja na wananchi watapima na kuamua.
 
Back
Top Bottom