zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
CHADEMA wote majembe
toa SHIBUDA, lile joka lakupondwapondwa na shoka.
CHADEMA wote majembe
Hivi wewe unaona yule anaongea pale? Unanchekesha! mie naona annlalama, "kelele za mlango...".
Au ushalamba kibahasha cha kujikimu kutoka kwa Sugu?
Usidanganyike kijana kuwa kuna mwana siasa yuko pale kukutetea wewe, ile ni kazi yao ya kuwaingizia vipato vya ziada na kuwaongezea umaarufu. Wapi kwingine watapata coverage ya TV na kujiongezea umaarufu huku wanalipwa zaidi ya pale? fikiri.
Nnakuhakikishia hakuna hata mmoja anaegombea ubunge akawa yuko kwa nia ya kusaidia wengine, kwanza ni kujisaidia yeye mwenyewe. Wanafik tu, hawana lolote. Pale ni njia ya mkato.
Hahahah...alikuwa anasoma, mbaya zaidi hata kusoma hajui!Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.
tatizo lako una mapepo.nenda kafanyiwe maombi huo ndio ushauri wangu kwako
Kijana usiyekuwa na huruma kwa vijana wenzako,huyu Mh(MB) Mwanaharakati Mtetezi wa wanyonge a.k.a Sugu anawatetea wanyonge wewe unaona ka vile anapiga kelele,kuna siku utakuja kumkubali kwa haya mazuri anayoyafanya
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.
pia amesema nchimbi kaweka " washkaji" zake kwenye kamati ya vazi la taifa,hawana utaalam wowote
Wakati wa majumuisho, Nchimbi kaipangua hii hoja na kumopaka sana Sugu kuwa hawezi kuwateua watu makini eti tuu kwa sababu anajua fulani ana bifu na fulani. Pia akapaka hauwezekani ugomvi udumu zaidi ya miaka 10, ukishakuwa mbunge ni kiuongozi wa umma, hivyo sasa wewe ni kioo cha jamii, sahau yaliyopita songa mbele, haya ma bifu mpaka kuimbana na kutukanana matusi mpaka ya nguoni sio mambo!.
hakuna mvuta bha.ng mwenye akiri timamu
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.
mkuu ndo tatizo la kuwekana,yeyealiwekwa na mshikaji wake naye kawatia washikaji zake.namuunga mkono kabisa
huyu jamaa ni mpuuzi ukinywa nae ukamsifia tu kuhusu wanawake ama kumpelekea mademu anakuingiza kwenye kamati...imeshangaza kajaza wahuni watupu kwenye kamati ya vazi la taifa
hilo mwanzo
umeona ile kamati ya sijui wanaita nini ya bmt
ni aibu kaweka wahuni wenzake anakunywaga nae pale breakpoint bila aibu sikuhiyo naona majina kadhaa nikacheka sana nikaona kumbe nikiona waziiri anakunywa na mie ntakuwa pembeni yake labda ntachaguliwa vazi la wapenzi bora 2012
Mazingaombwe haya! Vazi la taifa kwa wavaa mitumba wapi na wapi?Pia amesema Nchimbi kaweka " washkaji" zake kwenye kamati ya vazi la taifa,hawana utaalam wowote
Wewe unaejua kusoma uko wapi,Bora yeye ambaye hajui kusoma yuko pale Mjengoni na tena ni waziri kivuli bila kusahau ni kati ya waanzilishi wa Bongo flava, na ule mradi aliodhurumiwa na vibaka wa Maendeleo yaHahahah...alikuwa anasoma, mbaya zaidi hata kusoma hajui!
Mazingaombwe haya! Vazi la taifa kwa wavaa mitumba wapi na wapi?
Vazi la taifa tenda ya kushona atapewa fisadi Fulani na tenda ya kusambaza fisadi mwingine, Halafu itatolewa amri Kila siku ofisi za serikali kuvaa vazi la taifa. Ni ufisadi tu sintovaaa Hilo vazi