Kuna njia moja tu ya kumng'oa Sugu Mbeya mjini , NI KWA MTUTU WA BUNDUKI , Kwa kutumia sanduku la kura haiwezekani .
Ushindwe na mabunduki yako na yakujie wewe huko nyumbani kwako tu milele!Kuna njia moja tu ya kumng'oa Sugu Mbeya mjini , NI KWA MTUTU WA BUNDUKI , Kwa kutumia sanduku la kura haiwezekani .
Hujamuelwa mtoa mada soma taratibuUshindwe na mabunduki yako na yakujie wewe huko nyumbani kwako tu milele!
Nashindwa kuelewa kwanini huyu mla bange aliachiwa huru
Hahaha mbona wewe JAMBAZI uko mtaani!Nashindwa kuelewa kwanini huyu mla bange aliachiwa huru
hahahahahahaUkiwa upinzani bwana hii nayo habari ya kufungulia threads
"Sitatoa maswali ya nyongeza huku"